Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

France itabidi wafanye mabadiliko kwenye sehemu ya kiungo na Yohan Kabaye atafaa akija kusaidia sehemu hiyo.

Meneja amtoe Blaise Matuidi.
 
#Romania wana vituko sana usishangae wakifunga goli kushangilia wakavua nguo zote enzi zao wakiwa na watu kama #Jorge Hagi #Adrian Mutu #DAn Petrescu walikua wako better zaid ya sasa
 
#Romania wana vituko sana usishangae wakifunga goli kushangilia wakavua nguo zote enzi zao wakiwa na watu kama #Jorge Hagi #Adrian Mutu #DAn Petrescu walikua wako better zaid ya sasa

Nadhani hawa wa sasa ni better zaidi hasa wakipata matokeo ya kushtua hapa.
 
Nadhani hawa wa sasa ni better zaidi hasa wakipata matokeo ya kushtua hapa.
siangalia game i wsh niwaone hao jamaa ila #france game za ufunguz anakuaga na matokeo bomu remember vs #Senegal world cup
 
Romania wamenza kwa kuonyesha nia hasa ya kutafuta goli, lakini France wapo imara.

Dakika inakwenda ya 50

Goli ni 0-0
 
Matuidi leo kapotea

Matuidi anatakiwa acheze kama anvyocheza akiwa PSG kwamba anakaa pale pale juu (eneo la nusu duara la Romania) akiwasaidia Kante na Pogba.

Hiyo ni kwasbabu tayari Romania wanacheza kwa kujihami ndani ya eneo lao.

Yeye anashuka sana hivyo France kukosa kumalizia mashambulizi kwa ufanisi.
 
Girouuuuuuuuuuuuud

Nilisema huko nyuma kwamba Dimitri Payet ndie atakaeleta tofauti na amefanya hivo baada ya kutoa mpira wa cross murua kabisa na Olivier Giroud akamshinda nguvu kipa wa Romania na akafunga kwa kichwa.

France 1 Romania 0

Dakika inakwenda ya 59
 
Kuna watu wana bahati sana,ni ngumu kuamini kuwa Giroud ndio striker namba moja wa Ufaransa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…