Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?


"We start the party"- Olivier giroud akishangilia goli la kwanza alilofunga kwenye dakika ya 14


"Hey pal, stay down there"- Paul pogba akifunga goli la kichwa dakika ya 34 baada ya kuruka na kumzidi beki wa Iceland Gudmundsson.


"We need to finish you before half time" -Dimitri Payet akifunga goli la tatu baada ya kupokea pasi murua kutoka kwa Antoine Griezmann.

I will chip it for ya fella! -Antoine Griezmann akivusha ngoma juu ya kipa kufunga goli la nne.


Iceland nao wakasema na sisi twajua kufunga na Sigthorsson akafunga goli safi.

"But we are still in charge of this game mate" Olivier Giroud akaongeza goli la tano kwenye dakika ya 59.


"Mkubwa tutaweza ngoma hii?" wachezaji wa Iceland wanajadiliana na Aron Gunnarsson akimtazama mwenzie.


Lets march on guys football is 90 minutes.

Iceland wakafunga goli la pili na hapa Birkir Bjarnason anakimbia na mpira kuuweka kati.

Lakini ilikuwa too late.

Safi sana Iceland mjaribu tena Euro 2020 nchini Ubelgiji.
 
Mdau uko vizuri..Analysis ya faster umetupa
 
Kama nilivyosema mfungaji bora wa michuano hii ni giroud japo kwa arsenal ni underdog ...na France mpaka amtoe mtu damu ndio mtamtambua
 
Kama nilivyosema mfungaji bora wa michuano hii ni giroud japo kwa arsenal ni underdog ...na France mpaka amtoe mtu damu ndio mtamtambua
Labda msimu huu pale arsenal atakuwa vizuri.
 
Mimi binafsi nawapa nafasi Portugal
 
HII MECHI ITALETA UADUI KWA HAWA WATU WAWILI AISEE


No, that will never happen japo media zinalazimisha kuchochea uadui kwa muda mrefu tu tangu miaka 2 iliyopita. Media za siku hizi bana sijui vipi!
 
No, that will never happen japo media zinalazimisha kuchochea uadui kwa muda mrefu tu tangu miaka 2 iliyopita. Media za siku hizi bana sijui vipi!
mkuu we ngoja uone endapo WALES itapita RONALDO atazungumziwa sana na ndo mwnzo wa beef
 
Bifu lenu nyinyi mashabiki wa mpira wa facebook. Lakini kwa profesional players kama wale wanaoshare uwanja wa mazoezi bifu litoke wapi?
Ninaona Media haswa za Waingereza wameshupalia sana hii game ya Leo, wanaamini kuwa Wales waliwatoa Ureno basi CR7 atamnunia mwenzie GB11
 
Ninaona Media haswa za Waingereza wameshupalia sana hii game ya Leo, wanaamini kuwa Wales waliwatoa Ureno basi CR7 atamnunia mwenzie GB11


I don't like such kind of journalism of Ben Hayward, Goal.com, ESPN FC and the likes. It's like they're hired to troll Cristiano in anything he does and praise the opposite side. Haipendezi kuona hata vyombo vya habari za michezo nazo zinaandika Gossip badala ya kutoa report. Kwa ujumla media za kisasa zinasikitisha sana, they have to emotionally hurt somebody everyday ndio maisha yaende. Sasa naogopa hata kumshawishi junior kuhusu kazi uandishi wa habari naona kama ni evil job tu.
 

Mwaka 2004 walikomaa CR7 akosane na Rooney pale Rooney alivyopewa red card iliyosababishwa na CR7. Lakini walivyorudi Man U wakawa pamoja kama kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…