Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Refa kama Lubuva
yote dugu moja...Sio Jecha [emoji28]
Kautoa kama Table Tennis ule ukitizama vizuri ila Kabla hapo mie sikujua nini kinaendelea, Reply ndio nikajua nini kimendelea ila Kaunawa alivyokwenda chini alitaka kujifanya kaumia kichwa ndomana Roho yake ilijuta ila wenzake hawakujua kinachoendelea yeye anajua alivhofanya, Soft ila ni Penalt.Sio penati mkuu. Shweini hajaunawa ule mpira.
cr7 atadhibitiwa na Evra tu,hana lolote yuleFrance ikipita CR7 tutamkoma...
Home team atakuwa na nafasi ila CR7 atataka kuhakikisha watu hawaandiki ya Messi ndio yamemkuta CR7. kila kitu kimekuwa CR7 vs Messi sijui wote wangekuwa Euro au BoringCopaAmerica ingekuwaje?France ikipita CR7 tutamkoma...
HahahaJerome Boateng ndo wewe Hahah
Shughuli ndio hii hapa tatizo umeanza kukimbia weye kabla ya France umetangaza mapema kabla ya half-time kuwa unakwenda lala.Charles de gaule alimkimbia Hitler,alikimbilia London kwa Chichil,Hitler alitamba sana kuichukua Paris.Thanks to spirit ya resistence ya de gaule,akawaambia wafaransa waendelee kuresist maana wameshindwa battle na siyo vita,at the end Hitler alishindwa kwa aibu akajiua,sasa sijui leo France wataresist?tusubiri dakika 90
Game bado sana man, Ujerumani bado wanaweza kurudi,Usiku ushakua mzito
mhuuuuuum,dua la kukuExpect France to rent Chelsea's blue bus in the second half.
AaaahPenati ya kubebwa...
katika kuangalia kwangu Mpira C Ronaldo kiboko yake alikuwa Ashley Cole ila kipindi kile jamaa Wing sana alikuwa. Ureno nafasi ndogo sana kwa France hata Mjerumani ila CR7 hatabiriki.cr7 atadhibitiwa na Evra tu,hana lolote yule
Mwanangu kaniamsha,Griez alivyofunga,hata siku ya Ireland nilienda bedroom kabisa,waliporudisha mwanangu akaniita,mwanangu ni brave sanaShughuli ndio hii hapa tatizo umeanza kukimbia weye kabla ya France umetangaza mapema kabla ya half-time kuwa unakwenda lala.
Mpaka hapa nobody's game anything can happen ila najua naitizama fainali leo.