Atakuja tu...Hawezi kuja hahahah
[emoji1] [emoji1]France wakishinda ni sawa na Senegal tu imeshinda
Payet ana wazazi wa toka Afrika?Waafrica ni watu wa ajabu sana
Ronaldo hajawahi kuwa funga goli ufaransa toka ana zaliwaWaafrica ni watu wa ajabu sana
Waafrika kwa kuamini uchawi utawajua. Kama ingekuwa uchawi nchi za Afrika na Uarabuni zingekuwa zinafanya vizuri katika kila kitu duniani.Wafaransa kuna wachawi huenda kweli wamefanya mambo haaah
Nime-assume tu mkuu wala sijui origin yakePayet ana wazazi wa toka Afrika?
Too sad....Ila bado tunashinda hiiRonaldo hajawahi kuwa funga goli ufaransa toka ana zaliwa
Na haja wahi kuumia kwenye mashndano yyte ya kimataifa
Ndo bas tena
Ronaldo hajawahi kuwa funga goli ufaransa toka ana zaliwa
Na haja wahi kuumia kwenye mashndano yyte ya kimataifa
Ndo bas tena
Aaah ... siyo france?Ni kweli amezaliwa visiwa vya Madagascar huko..
Hata hivo bado wamecheza vzurNinavyoona mimi hii ni perfect chance kwa Portugal to silence their critics about them being a one man team. Kuumia kwa Ronaldo kutawafanya wapige mpira vibaya mno, we subiri tu. Wasiwasi wangu beki zao zikiongozwa na Pepe wanaweza kupewa RED CARD. Wafaransa wanaweza kuwa tricky wapewe hata tuta. Si unaona Griezmann kashaanza. Lakini huyu Ref namuamini sana.
AaahToo sad....Ila bado tunashinda hii
Tukifungwa sababu tunayo [emoji12] [emoji12]Aaah
Hilo halipingiki kwa kweli
Mnaleta mambo ya Sheikh Yahaya...Ila hii game si ajabu Portugal kushinda..