Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

France wasisahau kwamba Portugal ni wazuri kwenye idara ya kupiga penalty.

France wajitahidi washinde game uwezo huo wa kushinda wanao.

Deschamps awaingize Martial na Kabaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…