Sababu unabishana na ukwelvp kwani mkuu mbona umeuliza hivyo?
Ile golden generation yao ilifika mwisho.Mimi timu yangu iwe EURO au WC huwa ni ITALIA.
Ila naona siku hizi hawakazi Kama miaka hiyo.
Ni kweli! Timu zote hupitia re building process. Inahitaji uvumilivu!Ile golden generation yao ilifika mwisho.
Kwa Timu hiyo hatuwezi kuibeza England tatizo linakuja unamuona walcot ndani welbeck nje, roon ndani vardy nje, cahil ndani stone nje, starling ndani Kane nje, Drinkwater nje barkely ndani Hawaendi kokoteGk: Fraser Foster
Defence: Klye Walker, Chris Smalling, John Stones, Danny Rose
Midfield: Danny Drinkwater, Eric Dier, Delle Alli
Attack: Jamie Vardy, Harry Kane, Danny Welbeck
Subs: Jack Burtland, Garry Cahill, Ryan Bertrand, James Milner, Ross Barkley, Jordan Henderson, Daniel Sturidge
Hii timu mnaiona ordinary ila ina Chemistry ambayo ni tishio
I go for England!!!!!
Si ndo messi yupo hapo!? Kuna kazi kweli, hiyo fainali mtoto hatumwi dukani.Umeisahau Argentina!!😀😀
mimi naamini Roy ana akili sana kuweza kupambanua mambo....ili ushinde michuano yeyote mikubwa form ya wachezaji kwa wakati huo inamatter sana, huwezi kumpanga Walcott mbele ya Welbeck wakati Arsenal anawekwa bench na Welbeck kwa wakati huu. Huwezi kumpanga Rooney au Sterling mbele ya Jarmie Vardy au Harry Kane coz ndo watakuwa ndo kwanza wanatoka kwenye rehabilitation ya injury zao wakati una wachezaji ambao ni top 2 scorers kwenye EPL na wako kwenye form nzuri kabisa kwenye carrier zaoKwa Timu hiyo hatuwezi kuibeza England tatizo linakuja unamuona walcot ndani welbeck nje, roon ndani vardy nje, cahil ndani stone nje, starling ndani Kane nje, Drinkwater nje carlic ndani Hawaendi kokote
pia kwa Cahill na Stones sioni tatizo hapo....yeyote akianza itakuwa ni good optionKwa Timu hiyo hatuwezi kuibeza England tatizo linakuja unamuona walcot ndani welbeck nje, roon ndani vardy nje, cahil ndani stone nje, starling ndani Kane nje, Drinkwater nje barkely ndani Hawaendi kokote
Unachokisema ni kweli tatizo mawazo ya kocha na sisi mashabiki tofauti kila shabiki wa england angependa kikosi hichomimi naamini Roy ana akili sana kuweza kupambanua mambo....ili ushinde michuano yeyote mikubwa form ya wachezaji kwa wakati huo inamatter sana, huwezi kumpanga Walcott mbele ya Welbeck wakati Arsenal anawekwa bench na Welbeck kwa wakati huu. Huwezi kumpanga Rooney mbele ya Jarmie Vardy au Harry Kane ambaye atakuwa ndo kwanza anatoka kwenye rehabilitation ya injury yake wakati una wachezaji ambao ni top 2 scorers kwenye EPL
Tuko pamoja sana ila mbona simuoni wazzaGk: Fraser Foster
Defence: Klye Walker, Chris Smalling, John Stones, Danny Rose
Midfield: Danny Drinkwater, Eric Dier, Delle Alli
Attack: Jamie Vardy, Harry Kane, Danny Welbeck
Subs: Jack Burtland, Garry Cahill, Ryan Bertrand, James Milner, Ross Barkley, Jordan Henderson, Daniel Sturidge
Hii timu mnaiona ordinary ila ina Chemistry ambayo ni tishio
I go for England!!!!!
Sorry....hapo kwa wazza unamaanisha nani mkuu?Tuko pamoja sana ila mbona simuoni wazza
Captain RooneySorry....hapo kwa wazza unamaanisha nani mkuu?
Roy nae anajua nini waingereza wanataka kukiona mkuu....kama unavyojua waingereza wanakuchoka mapema pale ambapo unaleta umuch-knowUnachokisema ni kweli tatizo mawazo ya kocha na sisi mashabiki tofauti kila shabiki wa england angependa kikosi hicho
Tatizo la England kocha hana maamuzi. Team anapangiwa na FA na Pundits wa Media.Gk: Fraser Foster
Defence: Klye Walker, Chris Smalling, John Stones, Danny Rose
Midfield: Danny Drinkwater, Eric Dier, Delle Alli
Attack: Jamie Vardy, Harry Kane, Danny Welbeck
Subs: Jack Burtland, Garry Cahill, Ryan Bertrand, James Milner, Ross Barkley, Jordan Henderson, Daniel Sturidge
Hii timu mnaiona ordinary ila ina Chemistry ambayo ni tishio
I go for England!!!!!
Up to now Rooney bado yupo injury....itakuwa ngumu kwa yeye kucement nafasi yake kwenye starting 11 kikosi cha England...however uwepo wake kikosini utaongeza motisha kwa wachezaji wengine na pia ataongeza uzoefu pale ambapo mbinu za mchezo zitakuwa zimefail na anahitajika mtu wa kuweka uzoefu kuyapata....Captain Rooney
na sidhani kama kwa sasa kuna Pundit au Media yeyote isiyotaka kikosi cha England kionekane hivyoTatizo la England kocha hana maamuzi. Team anapangiwa na FA na Pundits wa Media.
Jamaa muhimu yule. Ngoja tuone akipona. Kuna watu wanaichukulia poa England ila mimi naamini tutafanya maajabu.Up to now Rooney bado yupo injury....itakuwa ngumu kwa yeye kucement nafasi yake kwenye starting 11 kikosi cha England...however uwepo wake kikosini utaongeza motisha kwa wachezaji wengine na pia ataongeza uzoefu pale ambapo mbinu za mchezo zitakuwa zimefail na anahitajika mtu wa kuweka uzoefu kuyapata....
Kila tournament huwa wanasema watafanya maajabu...Jamaa muhimu yule. Ngoja tuone akipona. Kuna watu wanaichukulia poa England ila mimi naamini tutafanya maajabu.
Halafu sterling ameumia mpaka mwisho wa msimu