Kuelekea Fainali: Ni mchezaji gani anayeweza kuziba nafasi ya Khalid Aucho kati ya Mudathir Yahya, Zawadi Mauya na Sure Boy?

Kuelekea Fainali: Ni mchezaji gani anayeweza kuziba nafasi ya Khalid Aucho kati ya Mudathir Yahya, Zawadi Mauya na Sure Boy?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Naam Khalid Aucho ataukosa mchezo wa fainali dhidi ya USM ALGER kutokana na kadi za njano mfululizo.

IMG_7342.jpeg


"Tunasikitika kumkosa Khalid Aucho kwenye kikosi lakini tumeongea naye atatumika kuleta hamasa kwenye timu" By Big Brain coacher (BBC) Prof Nabi.

Je wanayanga, ni nani anaweza kuziba gape la Khalid Aucho "the tank" Kati ya Hawa vitasa Moto Mudathir Yahya, Zawadi Mauya na Abubakari sure boy?

Nawasilisha.
 
Naam Khalid Aucho ataukosa mchezo wa fainali dhidi ya USM ALGER kutokana na kadi za njano mfululizo.

"Tunasikitika kumkosa Khalid Aucho kwenye kikosi lakini tumeongea naye atatumika kuleta hamasa kwenye timu"

By Big Brain coacher (BBC) Prof Nabi.

Je wanayanga ni Nani anaweza kuziba gape la Khalid Aucho "the tank" Kati ya Hawa vitasa Moto Mudathir Yahya, Zawadi Mauya na Abubakari sure boy ??

Nawasilisha.
Yannick bangala kutombo namba sita nane Mudathiri yahya Abasi
 
Naam Khalid Aucho ataukosa mchezo wa fainali dhidi ya USM ALGER kutokana na kadi za njano mfululizo.

"Tunasikitika kumkosa Khalid Aucho kwenye kikosi lakini tumeongea naye atatumika kuleta hamasa kwenye timu"

By Big Brain coacher (BBC) Prof Nabi.

Je wanayanga ni Nani anaweza kuziba gape la Khalid Aucho "the tank" Kati ya Hawa vitasa Moto Mudathir Yahya, Zawadi Mauya na Abubakari sure boy ??

Nawasilisha.
Bila kupepesa hapo Yanick Bangala si tu anakwenda kuziba pengo Bali anaongeza na jino la dhahabu kabisa na mtasamsahau Aucho leo.

Mudathir ndio anakwenda kucheza namna ya Bangala, pia msisahau Dickson Job ni kiraka pia, leo ndio mtakubali Nabi ni Profesa.
 
Bila kupepesa hapo Yanick Bangala si tu anakwenda kuziba pengo Bali anaongeza na jino la dhahabu kabisa na mtasamsahau Aucho leo.

Mudathir ndio anakwenda kucheza namna ya Bangala, pia msisahau Dickson Job ni kiraka pia, leo ndio mtakubali Nabi ni Profesa.
Kwa namba nane job sijawahi kuona akicheza hiyo nafasi
 
Utabiri wa kikosi Cha yanga leo:
1. Diara, 2.job, 3.Lomalisa, 4.Bacca, 5.Mwamnyeto, 6.Bangala, 7.Tuisila, 8.Mudathiri, 9.Mayele, 10.Aziz k, 11.Musonda
 
Back
Top Bottom