Utashuhudia zile goli 5 tutampiga hapa nyumbaniNitakuwa mshabiki wao siku hiyo
Tano ni goli basi, jana PSG kampiga mtu goli 9 [emoji23][emoji23] sisi sio wa kwanza mtani,Nalijua hilo mbona japo siku zote kikubwa ndio kinaonekana sana. Tanooo. Hahahaaaa
Simba bado atabaki kuwa mnyama anae winda.,nyie mnasafari ndefu nutakuambia siku moja, msalimie shemeji mpe pole kwa matokeoπ€£π€£π€£Mchokozi ndiooo. Zile tambo zako za juzi unadhani mchezo
Yamepozwa na zile bao tano za Mkongo.πππ
Hahahaaaa. Noumer sana.Tano ni goli basi, jana PSG kampiga mtu goli 9 [emoji23][emoji23] sisi sio wa kwanza mtani,
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua inakua ni kama vile darasani ukifeli unaangalia yule anaeshika namba moja wakati wote nae vipi unakuta nae kafeli basi unafurahia na kurukaruka lakini unasahau wote mmefeli big time [emoji23][emoji23][emoji23]Yamepozwa na zile bao tano za Mkongo.[emoji3][emoji3][emoji3]
Katika kijiliwaza tano sio goli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaaa. Noumer sana.
Eti "tano ni goli basi" kweli kufungwa ni kitu ingine Mtani. Wakati mlivyomfunga Yanga mliziona nyiiiingi. [emoji28][emoji28][emoji28]
Haya bana Mtani Siku njema.
Wacha weee. ππKatika kijiliwaza tano sio goli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani jana vipi hukunitafuta hata salamu jamaniWacha weee. [emoji3][emoji3]
Taarifa zako za jana ninazo , naomba unisalimie japo nikusikie tu sauti yako nyororo nifurahiWacha weee. [emoji3][emoji3]
Hebu hukoooo. Naona umeanza. π€£π€£π€£π€£
πππ nilijua tu. Hahaaaa.Taarifa zako za jana ninazo , naomba unisalimie japo nikusikie tu sauti yako nyororo nifurahi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mmeshazoe presha nyie watu hhahahaha, hicho kitimu msimu uliopita simba tulikitoa hatua za mwanzo kabisa, jana mmeharibu hahahahahaHebu hukoooo. Naona umeanza. π€£π€£π€£π€£
Nilipanga nikucheck jioni Mtani ili kama kununa tunune wote.
Hahaaa. Hivyo jioni mtamuangusha Leopards?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mmeshazoe presha nyie watu hhahahaha, hicho kitumu msimu uliopita simba tulikitoa hatua za mwanzo kabisa, jana mmeharibu hahahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenifurahisha mkurugenzi wangu japo nimekusikia, nimekuja kukuliwaza lakini,[emoji85][emoji85][emoji85] nilijua tu. Hahaaaa.
Niaje lakini?
Kama kawa yani usisahau kuwa siti ya mbele kabisa uniweke siti ya pembeniHahaaa. Hivyo jioni mtamuangusha Leopards?
Hahaaa. πππUmenifurahisha mkurugenzi wangu japo nimekusikia, nimekuja kukuliwaza lakini,
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali Mtani tag langu litakuhusu. πππKama kawa yani usisahau kuwa siti ya mbele kabisa uniweke siti ya pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni poa kabisa vipi wewe na familia yako wote wazima? ,Naomba leo usitie fitina tushinde[emoji85][emoji85][emoji85] nilijua tu. Hahaaaa.
Niaje lakini?