Dr Pesambili
Member
- Apr 15, 2018
- 9
- 77
Ni nani hasa ambaye anaweza kunipa ushahidi wa dhati ambao hata nafsi yake inakiri kuwa ni wa kweli, Kuelekea IKulu ya Tanzania 2020 yupo wa kushindana na Magufuli? Hakika kama yupo anaweza kunisaidia nami kujua.
Huyu wa kushindana nae atakuja na ajenda gani? Hawa wapinzani hivi ni kipi hasa ambacho wameweza kutueleza hadi sasa ambacho kweli kinahalalisha uwepo wao katika kinyang’anyiro hiki, achilia mbali kuchaguliwa kutuongoza? Ndio, ni kipi hicho ambacho nyie mmekiona mnisaidie .
Huyu wa kushindana nae atakuja na ajenda gani? Hawa wapinzani hivi ni kipi hasa ambacho wameweza kutueleza hadi sasa ambacho kweli kinahalalisha uwepo wao katika kinyang’anyiro hiki, achilia mbali kuchaguliwa kutuongoza? Ndio, ni kipi hicho ambacho nyie mmekiona mnisaidie .