Kuelekea Jumapili:Kumbukumbu yangu ya Simba SC vs Nkana FC mwaka 1994.

Nimeku-take note mkuu S A Ngolilo,nitafatilia kuona kama kweli umejitoa hapa JF baada ya J'pili,maana hao Nkana watafungika tu.

Hakikisha unaleft mkuu.Usije kwenda kujificha jukwaa la elimu au mapishi.
 
Simba haijawahi kufungwa wala kutoa droo na nkana Dar,ila na nkana haijawahi acha ipiga simba chini ya 4 kama sikosei wanapokuwa kwao. Hivyo usikariri mpira unabadilika. Mabadiliko yalotokea Kitwe yaweza tokea dar,hasa ukizingatia simba hii haifanani kabisaaaaaaaa na ile ya Siang'a wala ile ya 94. Simba hii uwezo ni mdogo sana,na ninaamini Nkana wanakuja kutoa droo au simba hii ya Wazee inakufa hapa hapa.
 
Huyu hassan Kessy Yanga hawakuona kipaji ipasavyo wazambia wameona kipaji chake kocha gani alimwacha huyu?
 
K
Kusahihisha mwaka 1994 mechi ya kwanza Simba alianzia Zambia ambapo alifungwa 4-1. Mechi ya marudiano Taifa Simba alishinda 2-0 na sio 2-1. Mpaka Half Time Simba walikuwa wanaongoza 2-0 . likawashinda goli la tatu kipindi cha pili.
 
A
K

Kusahihisha mwaka 1994 mechi ya kwanza Simba alianzia Zambia ambapo alifungwa 4-1. Mechi ya marudiano Taifa Simba alishinda 2-0 na sio 2-1. Mpaka Half Time Simba walikuwa wanaongoza 2-0 . likawashinda goli la tatu kipindi cha pili.
Asante.Nimekusoma mkuu.
 
K

Kusahihisha mwaka 1994 mechi ya kwanza Simba alianzia Zambia ambapo alifungwa 4-1. Mechi ya marudiano Taifa Simba alishinda 2-0 na sio 2-1. Mpaka Half Time Simba walikuwa wanaongoza 2-0 . likawashinda goli la tatu kipindi cha pili.
Ndugu hii mechi siyo kwamba ilianzia Dar simba akashinda 2-1 kisha marudiano simba wakafungwa 4-1kama sikosei?
 
K

Kusahihisha mwaka 1994 mechi ya kwanza Simba alianzia Zambia ambapo alifungwa 4-1. Mechi ya marudiano Taifa Simba alishinda 2-0 na sio 2-1. Mpaka Half Time Simba walikuwa wanaongoza 2-0 . likawashinda goli la tatu kipindi cha pili.
Utakuwa unaongelea ya 2000s simba ya Siang'a ilifingwa Zambia 4-0 marudiano Dar simba akashinda 3-0 ikatolewa kwa hilo goli unalosema wewe
 
kama nilikuona kule kwenye jukwaa la kusimama...
 
Nimeandika jina lako pemben ole wako nikuone jf
 
kama nilikuona kule kwenye jukwaa la kusimama...
kama nilikuona kule kwenye jukwaa la kusimama...
kama nilikuona kule kwenye jukwaa la kusimama...
😁😁😁 Mimi nilikuona kabisa.Ni kweli nilikuwa kule kwenye jukwaa la kusimama au kukaa kwenye vyuma,kule yalikokuwa matangazo(mabango) ya Hedex,Scania,na Kodak.

Wengi walishasahau kama kulikuwa na matangazo ya vile,au kama kulikuwa na jukwaa la kusimama.
 
Ujui kua mashabiki wa Yanga ni wachache kuliko wa simba, ni lini mashabiki wa Yanga mliweza kuujaza uwanja kwenye mechi yenu?
Pili angalia kwenye mechi za simba na Yanga ni mashabiki gani wqnakua wengi
 
Hapa naona historia inafanya kazi. Kwenye ubishani na Yanga, historia haina maana.

Turudi kwenye mada.

Hakuna namna ambayo Nkana ataondoka Taifa bila goli. Ashinde moja bila ai watoke sare ya aina yoyote ya magoli.

Over confidence itaiponza Simba. Papara za kupata goli moja haraka itaiexpose defence ya Simba. Nkana wapo vizuri kwenye counter attack. Ni wepesi zaidi.

Goli lolote la Nkana litaua morali ya Simba.

Utabiri wangu ni sare ya aina yoyote ya magoli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…