Kuelekea Kigoma Mzee Mpili Awekewe Ulinzi

Kuelekea Kigoma Mzee Mpili Awekewe Ulinzi

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Ikiwa huyu mzee wetu ataelekea kwenye fainali hii kule Kigoma ninashauri apatiwe ulinzi binafsi either Yanga au Kamati ya ulinzi na usaĺama ya mkoa wabebe jukumu hili

Huenda ikatokea mzee wetu huyu usalama wake ukawa hatarishi baada ya matokeo yamechi hiyo ya fainali

Ninahisi matokeo yoyote yale yanaweza mtia matatani huyu mzee endapo klabu yake itashinda au kupoteza,na hii yote itasababishwa na ahadi pia vibe aliloliamsha tokea mchezo wa mwisho Simba na Yanga.

Ninawasilisha.
 
Ikiwa huyu mzee wetu ataelekea kwenye fainali hii kule Kigoma ninashauri apatiwe ulinzi binafsi either Yanga au Kamati ya ulinzi na usaĺama ya mkoa wabebe jukumu hili

Huenda ikatokea mzee wetu huyu usalama wake ukawa hatarishi baada ya matokeo yamechi hiyo ya fainali

Ninahisi matokeo yoyote yale yanaweza mtia matatani huyu mzee endapo klabu yake itashinda au kupoteza,na hii yote itasababishwa na ahadi pia vibe aliloliamsha tokea mchezo wa mwisho Simba na Yanga.

Ninawasilisha.


Yeye alihojiwa akiwa kwao Rufiji na akasema Kigoma hatoenda.
 
Jumapili ilopita nimemuona Mt. Livingstone - Kkoo anawarushia Mawe vijana! Vijana walikuwa wanamtania kuwa KIGOMA YANGA Haitoki!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Tumetoka kwa Dr shika na Piere liquid tumehamia kwa mzee Mpili,
Na maisha yanaendelea!
 
Kwa mujibu wa Mpili yeye akisha Pata matokeo ya mechi ambayo yeye uyafahamu mapema Sana hajisumbui kwenda kuangalia mpira ata kwenye Tv, Yeye anakwenda kulala akiamka kilakitu kinakua Kama alivyo pewa taarifa na watu wake.
 
Mzee Mpili anakwambia,"sisi tuna watu",mimi shabiki wa Simba ila hamasa za mzee Mpili nazikubali sana,Manara kapata changamoto alikua anatamba yeye tu.
 
Mzee Mpili anakwambia,"sisi tuna watu",mimi shabiki wa Simba ila hamasa za mzee Mpili nazikubali sana,Manara kapata changamoto alikua anatamba yeye tu.
Mkuu,huyu mzee Mpili ni wa muda mfupi tu kisha atapotea kama alivyopotea Pierre liquid,umaarufu wake hauna misingi imara,Manara yupo na ataendelea kuwepo.
 
Mkuu,huyu mzee Mpili ni wa muda mfupi tu kisha atapotea kama alivyopotea Pierre liquid,umaarufu wake hauna misingi imara,Manara yupo na ataendelea kuwepo.
Tusubiri uwenda ikawa kama unavyosema,kwasababu hatujui msimu ujao Yanga watamtumia vipi mzee Mpili hasa kwenye hamasa.
 
Back
Top Bottom