Ninayemjua mimi au??
Mmh,tusije pata miss ana matege au makengeza( jokes)Vyote kwa pamoja
Kutafutana maneno hapa mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata Mimi sijaelewa hapa bado!!
Mkuu yupi uliyewahi kumuona moja kwa moja kati ya hao uliowataja?Zikiwa zimebaki siku chache kuufanya mwaka 2017 ubaki story.
Leo napenda kuwakaribisha hapa kumtafuta mrembo wa JF wa mwaka huu.
Tunajua wapo wengi ila wanazidiana.
Hapa tunataka kumpata aliye zaidi ya wengine.
Mimi naweka hawa watano tuwapigie kura ila unaweza pia kuongezea kwenye List yule unayeona Anafaa.
Shunie
Demiss
Sakayo
Inna
emmyta.
Ongezea wakwako halafu tupige kura.
Karibuni.