Kuelekea kufunga mwaka, Ni yupi mrembo wa JF 2017.?!

Dam55

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,641
Reaction score
11,958
Zikiwa zimebaki siku chache kuufanya mwaka 2017 ubaki story.
Leo napenda kuwakaribisha hapa kumtafuta mrembo wa JF wa mwaka huu.
Tunajua wapo wengi ila wanazidiana.
Hapa tunataka kumpata aliye zaidi ya wengine.

Mimi naweka hawa watano tuwapigie kura ila unaweza pia kuongezea kwenye List yule unayeona Anafaa.

Shunie

Demiss

Sakayo

Inna

emmyta.

Ongezea wakwako halafu tupige kura.

Karibuni.
 
Mkuu yupi uliyewahi kumuona moja kwa moja kati ya hao uliowataja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…