el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,058
Mpaka sasa yamefanyika mengi katika muziki wa Tanzania, wafuatao kwa maoni yangu naona wanastahili kupata tuzo kutokana na mchango wao katika muziki ndani mwaka 2014 ambao kimuziki ndo kama umeisha hivyo
1. Wimbo bora wa Mwaka-----------Nitajuta by Ya moto Band
2. Wimbo bora wa kushirikishana ----------- Kipi sijasikia by Prof J Ft Diamond
3. Kundi Bora la mwaka--------------- Ya moto Band
4. Video bora ya Mwaka----------------- Mdogomdogo by Dimond "chibu Dangote"
5. Msanii bora Chipukizi---------------- Marombosso (Ya Moto Band)
6. Wimbo bora wa HipHop---------- I see Me by Joh Makini
7. Mwanamuziki bora wa Hiphop---------- Young Killer
8. Hall of fame-------Dully Sykes
9.Msanii bora wa kike------- Vanessa mdee"V money"
10. Wimbo bora kwa wasanii wa kike------- Come over by Vanessa mdee
11. Mtunzi bora wa kiume------Ally kiba (mwana-Daresalaam)
12.Wimbo bora wa Afro Pop------Mdogomdogo by Dimond platnumz
13. Rmx Bora-----kizaizai Linah Ft Dimond
14. Msanii aliyefanya Vizuri Zaidi---Dimond Platnumz
Naamini asilimia 90 ya prediction yangu itakuwa kama ilivyotajwa hapo mwakani...nawasilisha
1. Wimbo bora wa Mwaka-----------Nitajuta by Ya moto Band
2. Wimbo bora wa kushirikishana ----------- Kipi sijasikia by Prof J Ft Diamond
3. Kundi Bora la mwaka--------------- Ya moto Band
4. Video bora ya Mwaka----------------- Mdogomdogo by Dimond "chibu Dangote"
5. Msanii bora Chipukizi---------------- Marombosso (Ya Moto Band)
6. Wimbo bora wa HipHop---------- I see Me by Joh Makini
7. Mwanamuziki bora wa Hiphop---------- Young Killer
8. Hall of fame-------Dully Sykes
9.Msanii bora wa kike------- Vanessa mdee"V money"
10. Wimbo bora kwa wasanii wa kike------- Come over by Vanessa mdee
11. Mtunzi bora wa kiume------Ally kiba (mwana-Daresalaam)
12.Wimbo bora wa Afro Pop------Mdogomdogo by Dimond platnumz
13. Rmx Bora-----kizaizai Linah Ft Dimond
14. Msanii aliyefanya Vizuri Zaidi---Dimond Platnumz
Naamini asilimia 90 ya prediction yangu itakuwa kama ilivyotajwa hapo mwakani...nawasilisha