Kuelekea kumalizika kwa mwaka wanastahili tuzo za Muziki wa Bongofleva


Hata mimi nineangalia hilo ndo maana naona mpaka sasa dogo anastahili
 
wmbo bora wa mwaka mo music-bac nenda
kikund bora-ya moto
msanii anaechepukia-mo music
wmbo bora wa kushrkiana
sheta na diamond

Basi nenda V Nitajuta...hii battle ni kali ila Nitajuta ni sheedar mzazi itashinda hata uilinganishe na nyimbo gani
 
Hiyo ungeiweka pale namba 2 kwa Prof.Jay na Diamond. Huwezi kusema eti wimbo wa Jay ni bora kuliko wa Nani kama Mama, dimpoz na bella....

Pia ommy anaweza kushinda vilevile...unaizungumziaje Mfalme ya FA na G warawara
 
Ukizungumzia wimbo bora wa mwaka kwa kweli Nitajuta wa Ya moto Band sioni kama una mpinzani..

Na hata wimbo bora wa kushirikiana kuna nyimbo kama mfalme wa Mwana Fa Ft Gnako

labda tunatofautiana kwenye vitu tunaviweka kama vigezo kwenye kufanya selection zetu.
Yamoto wako poa ila wametoa nyimbo haraka kiasi ntajuta imezimika ghafla na niseme nisiseme kwa maana hiyo huwezi kusema ni nyimbo bora hapo.
Ila nani kama mama bado haijafunikika na sidhani kama itafunikika hivi karibuni.
Kwanza nature ya nyimbo, mashairi yake pamoja na ujumbe uliopo.
Nyimbo ya mapenzi ni rahisi kufunikika ssbabu zinatolewa nyingi sana almost 97% ya nyimbo zote za bongo zinahusu mapenzi.
Ndo maana nyimbo kama nani kama mama na nyimbo kama mwana zitasikika sana sababu ni tofauti na nyimbo zilizozoeleka kusikika masikioni kwa watu
 
Upo sahihi, ila Ali kiba mtoe, hana tuzo.

Muweke tu platnumz hapo nafasi ya 11.
 
Ya moto ni bendi na sio group km Weusi au mengine km TMK.The best group kwa mwaka hiu ni Weusi na wimbo bora wa hiphop ni #Sitaki kazi by Nikki wa pili
Best female atabaki kuwa Jide tu,huwez kucompare Jide na Vmoney.....
Allykiba na wimbo wa mwana atabeba best Afropop

Mind you,these are my opinions
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…