Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Matatizo ni mengi huko NIDA sasa Mimi najiuliza mbona kuna rundo la watu mkoa wa manyara wamejiandikisha tangu mwezi wa saba mwaka Jana si namba wala kitambulisho kilichotoka sasa nao watafungiwa laini zao?
 
Ila wanatupeleka puta hawa jamaa sijawahi ona. Ila Makonda sio mtu mwenye talanta ya uongozi kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Nlikuwa namtetea sana Makonda ila kwa upumbavu wake alioongea jana nmemdharau sana!

Jamaa ni kama hajatoka kijijini vile yani. Maneno kama yale ilitakiwa waongee kina Rizi one watoto wa mjini wasiojua shida za watu huko mashambani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umelia sana.mkuu Mungu amekusikia kilio chako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wazee wa mitandao ya simu tunaliana timing tu.! Wanasubiria tujisahau na kulipa videni vyao... Thubutuuu!

Mimi voda nimekopa nipige tafu deni 4500/=, mpawa 60,000/= na songesha 11,769/=

Hii wahesabie ni hasara kwao... nasubiri wafungie tu na kama hawafungii bando langu likiisha nafanya mchakato wa kupata namba mpya
 
Taifa la kijinga sana hili, hivi MTU akijiandikisha kupitia driving license, passport, kitambulisho cha kupigia kura kuna Shida gani? Mbona nchi zingine haina haya mambo ya kishenzi shenzi? Sijui watu wana ushamba wa aina gani jamani? Tunapeana ma deadline yasiyokuwa na maana. Then wanakuja wanadai hatuzimi tena, umewatia watu pressure ya nini? Mbona tunakuwa kama tupo taifa LA wendawazimu?
 
Nadhani kufungiwa kunawahusu zaidi wale mil 6 waliokwishapewa namba za NIDA mpaka sasa hawajajisajili na wale ambao hawakuwahi hata kujaza fomu za NIDA kuomba vitambulisho

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ni hasara pia kubwa sana Ki uchumi...huwezi amka tu unafunga funga vitu.
Tena mwenye tatizo ni wewe si wananchi..wahanga tupo wengi sana.Toka 2016-2017-2018 napambana na NIN.Hapo sijapata ile hard copy.
Imenilazimu kutengeneza tu soft yangu ya kitambulisho maana ..wajitazame vizuri sana.
 
Hizo sheria zitawanyoosha wote waliosajiliwa na wasiosajiliwa, mawasiliano hayachagui ukishamkosa mtu wako muhimu kisa hajajisajili ndio utajua hii sheria imemnyoosha nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kadri wachangiaji wa Uzi huu watakavyopungua ndio ufungiaji wa line utakua umepamba moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…