Kuelekea Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya UD Songo 'Watapigiwa Mpira Mwingi Mno'

say no to wawa,say no to bocco say no to uchebeee
 
Kila la kheri watani zetu(Piere liquid FC)
 
Na hivi Leo Mvua imenyesha lazima tumkalishe Songo + Yanga.

Rest in Peace Amir Ally Bamchawi, mwenyekiti wa zamani wa Simba Sport Club.
 
Tatizo hizo zilizotangulia tuna mashaka na uwezo wao, huoni kuwa mwaka mmoja tu Simba SC amewabeba wengine..NguvuMoja[emoji23]
Ahahahaaaa mtani itakua umesahau hata ubingwa wa Ligi Kuu bara mmepewa na TFF kwa mtindo wa viporo. Simba hamna kitu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…