Kuelekea mechi ya CAFCC: Hatua 2 muhimu na ngumu kwa Simba SC kwenye kufikia malengo ya Klabu

Kuelekea mechi ya CAFCC: Hatua 2 muhimu na ngumu kwa Simba SC kwenye kufikia malengo ya Klabu

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Klabu ya Simba SC kufika hatua ya robo fainali ya CAFCL na CAFCC siyo jambo la kushangaza, ni kawaida tu, ndiyo maana malengo ya Klabu kwa sasa ni Nusu Fainali na Fainali na ikiwezekana Ubingwa. Na mechi rahisi ni ile ambayo imetamatika kwa kufikia malengo na si kwa fikra.

Kuelekea mechi ya CAFCC dhidi ya Orlando Pirates April 17, 2022 saa 1:00 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Ni hatua mbili ngumu na muhimu sana kwa Simba SC kwenye kufikia malengo ambayo yamewekwa na Klabu, hivyo basi tuelekeze maoni yetu Wanasimba na Wadau wa Kabumbu kwenye benchi la ufundi na Wachezaji pamoja na Viongozi katika kuandaa timu ya kuvuka hatua hii muhimu na ngumu, kwani mpira wa miguu ni mchezo wa hisia, akili, nguvu na kujiandaa Kisaikolojia.

1. Kucheza kwa ubora Nyumbani na Ugenini, huku kila mchezaji akicheza kwa kujituma zaidi kwa kuthamini nembo ya Klabu.

2. Kujua namna ya kucheza mechi za mtoano, kuwa na mbinu zote muhimu, 'Na ndo maana Waarabu kwenye michuano ya CAF, wanaamini kuwa mechi kubwa kwao ni mbili tu, hatua ya Mtoano na Fainali'.

3. Kucheza kwa kumfikiria zaidi mpinzani unayecheza naye, kwa kumheshimu kuwa amekuja kutafuta matokeo ya ushindi huku ukiwa na akili pevu kuwa anaweza kufanya lolote shughuli ikaishia hapo.

4. Kuwa na utimamu sahihi kucheza mchezo huo, kuacha Uzembe na Kubweteka ili kupatikane ile TeamWork.

Pamoja na Ufundi na Mbinu ya Kocha Pablo Franco Martin, haya ndo yakuelekezwa kwenye mchezo huu muhimu na mgumu sana, huku tukiamini kuwa tumefika hatua hii ni kwakuwa Simba SC wapo njia sahihi kwenye ukubwa wa CAF.

Orlando Pirates wanakaribia kuvuta pumzi ya moto haswa kutoka kwa Simba SC Mnyama Mkali Mwituni kama waliovuta wale waliotamgulia

Kulipewa Mwana....Kulitaka Mwana.
 
Pale Simba Kuna wachezaji wanapaswa waambiwe ukweli na wasiogopwe waache ubinafsi .

1. Morrison na Sacko hawa watu mpira wanaujua Sana tatizo lao moja ubinafsi na kutaka wafunge wao na kutaka ufalme pale Simba.Kuna mahala pakutoa pass kabisa wao hulazimisha wafunge wao ,Mara kadhaa wanatuchelewesha kupata magoli ,na nilichokiona dizain Kati ya hawa watu wawil wanagombania ufalme hapo Simba ,wakianzishwa wote wawil tunakosa Sana nafas za Waz sabab ya kila mtu kutaka afunge yeye kwanza, ushauri mmoja awe anaanzia nje au wakicheza wote Basi wapigwe biti kuwa sifa binafsi hatutaki timu kwanza huu ni mtoano sio ligi .

2.Kanoute huyu dogo sijui Ana nyota gani na kocha mm binafsi sijawah mwelewa ,ni mchezaji ambae kuchoma ni swala la kufikia .

3.lwanga , ni mchezaji mzuri ila rafu zimekua nyingi so apunguze Kuna cku atakuja kutugharimu na hii mech tuwe makin kutakua na VAR.

4.Nitashangaa mzamiru Kamali ataendelea kubakia Simba msimu ujao ,ni mchezaji anayejitahidi kukaba vzr Sana shida yake moja ni Hana control miguun ,mipira mingi anapoteza pass zisizo sahihi.
Ngoja niishie hapa ila wachezaji wa Simba katika game ngumu ya kuvuja damu na jasho Basi ni ya jumapil ,wachezaji wajitume haswa ,wacheze kitimu pia wasitegeane kukaba hasa Morrison hatakag kabisa kukaba ,wafight kweli kweli naamin wale Jamaa wanafungika vzr tu plus na advantage ya nyomi uwanjan

Pablo nae haelewek kwenye kupanga kikosi yaan ni mbabaishaji tu
 
Klabu ya Simba SC kufika hatua ya robo fainali ya CAFCL na CAFCC siyo jambo la kushangaza, ni kawaida tu, ndiyo maana malengo ya Klabu kwa sasa ni Nusu Fainali na Fainali na ikiwezekana Ubingwa. Na mechi rahisi ni ile ambayo imetamatika kwa kufikia malengo na si kwa fikra.

Kuelekea mechi ya CAFCC dhidi ya Orlando Pirates April 17, 2022 saa 1:00 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Ni hatua mbili ngumu na muhimu sana kwa Simba SC kwenye kufikia malengo ambayo yamewekwa na Klabu, hivyo basi tuelekeze maoni yetu Wanasimba na Wadau wa Kabumbu kwenye benchi la ufundi na Wachezaji pamoja na Viongozi katika kuandaa timu ya kuvuka hatua hii muhimu na ngumu, kwani mpira wa miguu ni mchezo wa hisia, akili, nguvu na kujiandaa Kisaikolojia.

1. Kucheza kwa ubora Nyumbani na Ugenini, huku kila mchezaji akicheza kwa kujituma zaidi kwa kuthamini nembo ya Klabu.

2. Kujua namna ya kucheza mechi za mtoano, kuna na mbinu zote muhimu, 'Na ndo maana Waarabu kwenye michuano ya CAF, wanaamini kuwa mechi kubwa kwao ni mbili tu, hatua ya Mtoano na Fainali'.

3. Kucheza kwa kumfikiria zaidi mpinzani unayecheza naye, kwa kumheshimu kuwa amekuja kutafuta matokeo ya ushindi huku ukiwa na akili pevu kuwa anaweza kufanya lolote shughuli ikaishia hapo.

4. Kuwa na utimamu sahihi kucheza mchezo huo, kuacha Uzembe na Kubweteka ili kupatikane ile TeamWork.

Pamoja na Ufundi na Mbinu ya Kocha Pablo Franco Martin, haya ndo yakuelekezwa kwenye mchezo huu muhimu na mgumu sana, huku tukiamini kuwa tumefika hatua hii ni kwakuwa Simba SC wapo njia sahihi kwenye ukubwa wa CAF.

Orlando Pirates wanakaribia kuvuta pumzi ya moto haswa kutoka kwa Simba SC Mnyama Mkali Mwituni kama waliovuta wale waliotamgulia

Kulipewa Mwana....Kulitaka Mwana.
Nakukumbusha tu "Pirates" kwa kiswahili maana yake ni maharamia, maharamia wanakuja kuwinda Simba.

Na jengine la kuelewa mechi ya Simba ni moja tu Dar kwa Mkapa ikishindwa hapa kule Soweto ndio hata msisumbuke, Orlando ndio timu halisi ya Wazulu Ezimnyama, pale FNB stadium Soweto ni bora hata ya kwa Mkapa, ni kwamba hawa ndio waanzilishi wa hizi vuvuzela hivyo ni vizuri mechi ya marudiano muwaandalie wachezaji wa simba pamba za kuziba masikioni, kule ndio zinapigwa vuvuzela za kufa mtu mnapoteana.
 
Kanoute umemuonea sana dogo anakaba sana na ni mtu wa kazi alitoa boko mechi moja tu ya away vs gendermarine na anakuwa bora sana akicheza na mkude mechi ile mkude hakucheza,Sakho nadhani utoto unamsumbua ila Morrison huyu ni kama mtu mwenye matatizo ya mwezi mchanga sometimes yes or not kuna kipindi anatoa sana pasi za magoli ila kuna ubinafsi unamshika shida kubwa wenzake kujua mikimbio yake ila wote Sakho na Morrison timu kwenye kukaba ni division four ya 35
Pale Simba Kuna wachezaji wanapaswa waambiwe ukweli na wasiogopwe waache ubinafsi .

1. Morrison na Sacko hawa watu mpira wanaujua Sana tatizo lao moja ubinafsi na kutaka wafunge wao na kutaka ufalme pale Simba.Kuna mahala pakutoa pass kabisa wao hulazimisha wafunge wao ,Mara kadhaa wanatuchelewesha kupata magoli ,na nilichokiona dizain Kati ya hawa watu wawil wanagombania ufalme hapo Simba ,wakianzishwa wote wawil tunakosa Sana nafas za Waz sabab ya kila mtu kutaka afunge yeye kwanza, ushauri mmoja awe anaanzia nje au wakicheza wote Basi wapigwe biti kuwa sifa binafsi hatutaki timu kwanza huu ni mtoano sio ligi .

2.Kanoute huyu dogo sijui Ana nyota gani na kocha mm binafsi sijawah mwelewa ,ni mchezaji ambae kuchoma ni swala la kufikia .

3.lwanga , ni mchezaji mzuri ila rafu zimekua nyingi so apunguze Kuna cku atakuja kutugharimu na hii mech tuwe makin kutakua na VAR.

4.Nitashangaa Kama ataendelea kubakia Simba msimu ujao ,ni mchezaji anayejitahidi kukaba vzr Sana shida yake moja ni Hana control miguun ,mipira mingi anapoteza pass zisizo sahihi.
Ngoja niishie hapa ila wachezaji wa Simba katika game ngumu ya kuvuja damu na jasho Basi ni ya jumapil ,wachezaji wajitume haswa ,wacheze kitimu pia wasitegeane kukaba hasa Morrison hatakag kabisa kukaba ,wafight kweli kweli naamin wale Jamaa wanafungika vzr tu plus na advantage ya nyomi uwanjan
 
Pale Simba Kuna wachezaji wanapaswa waambiwe ukweli na wasiogopwe waache ubinafsi .

1. Morrison na Sacko hawa watu mpira wanaujua Sana tatizo lao moja ubinafsi na kutaka wafunge wao na kutaka ufalme pale Simba.Kuna mahala pakutoa pass kabisa wao hulazimisha wafunge wao ,Mara kadhaa wanatuchelewesha kupata magoli ,na nilichokiona dizain Kati ya hawa watu wawil wanagombania ufalme hapo Simba ,wakianzishwa wote wawil tunakosa Sana nafas za Waz sabab ya kila mtu kutaka afunge yeye kwanza, ushauri mmoja awe anaanzia nje au wakicheza wote Basi wapigwe biti kuwa sifa binafsi hatutaki timu kwanza huu ni mtoano sio ligi .

Kila mchezaji alikuwa na presha ya kutaka matokeo.

Na hapo Pablo alivyojua mchezo unavyoendelea na ili kuupa mahitaji ' In-game Interpretation & Reaction na mapumziko alirudi na majibu.
 
Kosa pekee ninaloliona ni hii mechi kuchezwa usiku ni kama kunawapa unafuu Orlando, Simba ingeomba hii mechi ichezwe saa kumi jioni kisha yale mashindano ya Kidini yangehamishiwa uwanja wa Uhuru.

Naitakia Kila la kheri Simba. ila ukiiangalia Logo ya Orlando ni kama vile Simba itamla Pirates na kubakiza Fuvu tu.
 
Kosa pekee ninaloliona ni hii mechi kuchezwa usiku ni kama kunawapa unafuu Orlando, Simba ingeomba hii mechi ichezwe saa kumi jioni kisha yale mashindano ya Kidini yangehamishiwa uwanja wa Uhuru.

Naitakia Kila la kheri Simba. ila ukiiangalia Logo ya Orlando ni kama vile Simba itamla Pirates na kubakiza Fuvu tu.
Kucheza mchezo saa 1 unafuu unatoka wapi kwa Orlando? Ilhali imezoeleka Waarabu ndo wakupigwa mchana..!
 
Mzigo wa Platinum Ticket Umekata
20220414_181954.jpg
 
Kikosi kianze hiki, ushindi wa kuanzia 3 bila ni lazima.

manula, kapombe, hussein, inonga, wawa, mkude, lwanga, bwalya, sakho, mugalu, morrison.
 
Bila wachezaji wa Simba SC kujitoa 110% kuwatoa Pirates itakuwa ngumu sana.

Waache kucheza kwa mazoea, wajue hatua waliyofikia ni ngumu zaidi, na wanakutana. na timu ngumu zaidi, lazima wakimbie ku cover sehemu kubwa ya uwanja, sio kutembea.

Nafasi wanazopata wazitumie na mabeki wahakikishe hawafanyi makosa ya kizembe yatakayoigharimu timu, jamaa wamefunga magoli 15 kwenye makundi, hii maana yake wana washambuliaji wanaojua kulenga lango.

Hizi mechi mbili na hawa jamaa zitakuwa ni vita, hawa jamaa ni wa moto bora tungepewa wale waarabu wa Libya. Speed yao kwenye "counter attack" ndio alama ya timu nyingi za S.A, muhimu penye nia, pana njia.

Nguvu moja. Taifa Kubwa.
 
Bila wachezaji wa Simba SC kujitoa 110% kuwatoa Pirates itakuwa ngumu sana.

Waache kucheza kwa mazoea, wajue hatua waliyofikia ni ngumu zaidi, na wanakutana. na timu ngumu zaidi, lazima wakimbie ku cover sehemu kubwa ya uwanja, sio kutembea.

Nafasi wanazopata wazitumie na mabeki wahakikishe hawafanyi makosa ya kizembe yatakayoigharimu timu, jamaa wamefunga magoli 15 kwenye makundi, hii maana yake wana washambuliaji wanaojua kulenga lango.

Hizi mechi mbili na hawa jamaa zitakuwa ni vita, hawa jamaa ni wa moto bora tungepewa wale waarabu wa Libya. Speed yao kwenye "counter attack" ndio alama ya timu nyingi za S.A, muhimu penye nia, pana njia.

Nguvu moja. Taifa Kubwa.
goli 9 kati ya 15 wamemfunga kibonde royal leopards
 
Pale Simba Kuna wachezaji wanapaswa waambiwe ukweli na wasiogopwe waache ubinafsi .

1. Morrison na Sacko hawa watu mpira wanaujua Sana tatizo lao moja ubinafsi na kutaka wafunge wao na kutaka ufalme pale Simba.Kuna mahala pakutoa pass kabisa wao hulazimisha wafunge wao ,Mara kadhaa wanatuchelewesha kupata magoli ,na nilichokiona dizain Kati ya hawa watu wawil wanagombania ufalme hapo Simba ,wakianzishwa wote wawil tunakosa Sana nafas za Waz sabab ya kila mtu kutaka afunge yeye kwanza, ushauri mmoja awe anaanzia nje au wakicheza wote Basi wapigwe biti kuwa sifa binafsi hatutaki timu kwanza huu ni mtoano sio ligi .

2.Kanoute huyu dogo sijui Ana nyota gani na kocha mm binafsi sijawah mwelewa ,ni mchezaji ambae kuchoma ni swala la kufikia .

3.lwanga , ni mchezaji mzuri ila rafu zimekua nyingi so apunguze Kuna cku atakuja kutugharimu na hii mech tuwe makin kutakua na VAR.

4.Nitashangaa mzamiru Kamali ataendelea kubakia Simba msimu ujao ,ni mchezaji anayejitahidi kukaba vzr Sana shida yake moja ni Hana control miguun ,mipira mingi anapoteza pass zisizo sahihi.
Ngoja niishie hapa ila wachezaji wa Simba katika game ngumu ya kuvuja damu na jasho Basi ni ya jumapil ,wachezaji wajitume haswa ,wacheze kitimu pia wasitegeane kukaba hasa Morrison hatakag kabisa kukaba ,wafight kweli kweli naamin wale Jamaa wanafungika vzr tu plus na advantage ya nyomi uwanjan

Pablo nae haelewek kwenye kupanga kikosi yaan ni mbabaishaji tu
Mugalu umemsahau au

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom