Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kadi ya sativa na mariah sarungi nitawalipia mimi!Taarifa kutoka Makao Makuu ya Chama hicho imewakumbusha Wanachama wote wa Chama hicho kulipia kadi zao ili kuwapa uhalali wa kushiriki vikao muhimu vya Chama chao ifikapo January 21
Zaidi Tangazo lao hili hapa
View attachment 3191630
Humtaki Mwamba?Yaani nilipie kadi afu aje atangazwe mbowe mshindi, siwezi kufanya ujinga huo!!.
Embu tuwekee majina ya ambao hawajalipia. Huenda jina la Lissu limo! Ahahahahaha !!!Taarifa kutoka Makao Makuu ya Chama hicho imewakumbusha Wanachama wote wa Chama hicho kulipia kadi zao ili kuwapa uhalali wa kushiriki vikao muhimu vya Chama chao ifikapo January 21
Zaidi Tangazo lao hili hapa
View attachment 3191630
Hakuna namna, Mbowe ni kama maji.Yaani nilipie kadi afu aje atangazwe mbowe mshindi, siwezi kufanya ujinga huo!!.
Wamelipiwa na abdul na mama yakeKambi ya Mbowe wote wamelipa.
Kazi kwake Mzee Mapanki