Papaa Mobimba JF-Expert Member Joined Jan 27, 2018 Posts 882 Reaction score 3,337 Jan 27, 2025 #1 Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo. Pia soma - Pre GE2025 - News Alert: - Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari
Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo. Pia soma - Pre GE2025 - News Alert: - Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari
T Tony Laurent JF-Expert Member Joined Jan 5, 2011 Posts 5,606 Reaction score 7,032 Jan 27, 2025 #2 Sababu ya kuzingira ofisi ni nini?
Papaa Mobimba JF-Expert Member Joined Jan 27, 2018 Posts 882 Reaction score 3,337 Jan 27, 2025 Thread starter #3 Tony Laurent said: Sababu ya kuzingira ofisi ni nini? Click to expand... Mkutano usifanyike wakati huu kuna ugeni mkubwa
Tony Laurent said: Sababu ya kuzingira ofisi ni nini? Click to expand... Mkutano usifanyike wakati huu kuna ugeni mkubwa
M45 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2015 Posts 1,110 Reaction score 1,462 Jan 27, 2025 #4 Pale Chadema inapata nguvu bila kutumia gharama.