NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Yanga zote mbovu.Chagua wewe unataka ufungwe na Yanga ipi?
Ni simba gani ilifungwa na Tp mazembe?Yanga zote mbovu.
Yanga ya gsm Shaban Juma,Mayele na Yanick Bangala ilicheza na Zanaco ikapigwa mbili.
Yanga ya Dr.Msola Yacouba,Kibwana Shomari na Mauya ilicheza na Rivers ikapigwa mbili nje ndani.
Mazembe sio Yanga.Ni simba gani ilifungwa na Tp mazembe?
Hahaha nipe rekodi za matokeo ya simba na Yanga kwa misimu 3 nyuma mfululizo kwenye ligi kuu Tanzania baraMazembe sio Yanga.
Mazembe kwa ukubwa wake alikua na haki ya kuifunga Simba hata goli tano.ni haki yake Mazembe kuifunga Simba kwasababu sifa na ubora wa Mazembe upo juu zaidi ya Simba.
Lakini sifa na ubora wa Rivers ni wa chini sana kiasi kwenye CAF ranking River ni ya nne kutoka chini.mmefungwaje na wale madogo nyinyi?
Kwahiyo Simba ikifungwa na Yanga utatoa mlinganisho upi baina ya Simba na Yanga?Mazembe sio Yanga.
Mazembe kwa ukubwa wake alikua na haki ya kuifunga Simba hata goli tano.ni haki yake Mazembe kuifunga Simba kwasababu sifa na ubora wa Mazembe upo juu zaidi ya Simba.
Lakini sifa na ubora wa Rivers ni wa chini sana kiasi kwenye CAF ranking River ni ya nne kutoka chini.mmefungwaje na wale madogo nyinyi?
Rekodi zipo na nazijua,kabla atujahama mada kwanza umeelewa somo nililokupa?Hahaha nipe rekodi za matokeo ya simba na Yanga kwa misimu 3 nyuma mfululizo kwenye ligi kuu Tanzania bara
Simba ya sasa ni bora kuliko Simba zote na haitotokea Simba ya sasa ikafungwa na Manyani f.c,never.Kwahiyo Simba ikifungwa na Yanga utatoa mlinganisho upi baina ya Simba na Yanga?
Mimi naomba unipe jibu ikitokea Simba kafungwa na Yanga je Simba itakuwa ni mbovu?Simba ya sasa ni bora kuliko Simba zote na haitotokea Simba ya sasa ikafungwa na Manyani f.c,never.
View attachment 1949461Ungeleta hoja ni kwanini una mtazamo huo. Au mzungu pori atakuwa ndiye striker?
Au unapiga ramli. Unabahatisha bahatisha ili baadae ikiwa hvyo urudi hapa ukijiona konki kuwa ulitabiri.
Sasa fanya hvi odd ya utopolo kushinda ni zaidi ya 3.
Weka yanga win & 3+ ukiweka milioni utapata si chini ya mil 5 faida.[emoji1]
Ungeleta hoja ni kwanini una mtazamo huo. Au mzungu pori atakuwa ndiye striker?
Au unapiga ramli. Unabahatisha bahatisha ili baadae ikiwa hvyo urudi hapa ukijiona konki kuwa ulitabiri.
Sasa fanya hvi odd ya utopolo kushinda ni zaidi ya 3.
Weka yanga win & 3+ ukiweka milioni utapata si chini ya mil 5 faida.[emoji1]
Ndugu yangu wa JF
Usipoteze muda na nguvu zako kunibishia au kunitukana au kunikashifu bure kwani habari hii ni ya ndani sana, ya uhakika, ya siri na imetoka kwenye vyanzo vya uhakika
Ieleweke kuwa hapa hakuna uchawi wala ulozi ila sayansi ndiyo inafanya kazi kikamilifu
Kama una tatizo la Pressure tafadhali usiende Uwanjani kabisa siku hiyo ili kuepusha maafa
Poleni sana ndugu zetu wa Msimbazi na kamwe msijaribu kupuuza andiko hili bali mjiandae kisaikolojia
Ni vema pia mkaweka kumbukumbu ya andiko hili kwa faida ya rejea yenu baada ya Jumamosi ya Septemba 25
Niwatakie mchana mwema
Aksanteni
Basi kama unazijua hizo rekodi ushajua nini kinaenda kumpata simbaRekodi zipo na nazijua,kabla atujahama mada kwanza umeelewa somo nililokupa?
Mechi ya mwisho Simba na Yanga inajulikana nini Yanga kilimpata kombe likiwa uwanjani.Basi kama unazijua hizo rekodi ushajua nini kinaenda kumpata simba
Hatuzungumzii ushindi wa CHOPRICHOPRI, tunazungumzia ushindi wa wanaume wametimia uwanjani na sio ule wa kuwapunguza idadi wapinzani uwanjani ndo mnashindaMechi ya mwisho Simba na Yanga inajulikana nini Yanga kilimpata kombe likiwa uwanjani.
Kilichofanya mpungue ni ushamba wa mchezaji wenu kucheza kung-fu uwanjani.kilasiku mnaambiwa sajili wachezaji sio wakulima.Hatuzungumzii ushindi wa CHOPRICHOPRI, tunazungumzia ushindi wa wanaume wametimia uwanjani na sio ule wa kuwapunguza idadi wapinzani uwanjani ndo mnashinda
..ya Manara.Simba itafungwa na Yanga ipi,ya gsm au ya Dr.Msola?
Haaa,,,Manara anagundu tangia kaja Yanga basi ni vipigo tu...ya Manara.