Kuelekea Msimu mpya wa EPL tupia Top 4 yako hapa!

Manchester City
Liverpool fc
Manchester united
Chelsea fc...
.....Hyo ndo Top 4..
 
Utabiri wako unaenda vizuri japo bado mechi kadhaa kabla ya kufungwa kwa pazia la msimu huu.
 
Unasemaje sasa?
 
We jamaa nimekukubali... Hapo 3 na 4 naona zitaswap...
 
nafufua kaburi hili hahahahahahaha
 
we ni zaidi ya mchawiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kabla ya msimu uliopita kuanza Chelsea ilisemwa vibaya na Wengi waliieka man u top four
Mtu mwenye heshima kwenye soka kama ferguson akitoa chelsea had nje ya top six lakin likichokuja kutokea hakuna asiejua

tukutane february kuelekea march
upo wapi uje
 
Wee jamaaa n genius wa milembe kabisaa duuuu,,,, umetushaaa
 
Kabla ya msimu uliopita kuanza Chelsea ilisemwa vibaya na Wengi waliieka man u top four
Mtu mwenye heshima kwenye soka kama ferguson akitoa chelsea had nje ya top six lakin likichokuja kutokea hakuna asiejua

tukutane february kuelekea march
mkuu rudi utoe neno japo kwa ufupi
 
Utabiri wako unakaribia kuwa kweli.
 
We jamaa ni noma sana. Yametimia aisee. Big up
 
daaah
 
We jamaa nenda tu kwa Mhindi ukachukue mzigo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…