Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawahurumia hawa wanawake waliozaliwa 1980s na 1990s ambao mpaka leo hawajaolewa coz most of them by mwakani watakua wanahit 35yrs to 40yrs.
Mungu awakumbuke tu ktk ukuu wake kwa kweli maana soko Lao ndio hivyo tena lish
Si wanasema ndoa sio lazima hao!Nawahurumia hawa wanawake waliozaliwa 1980s na 1990s ambao mpaka leo hawajaolewa coz most of them by mwakani watakua wanahit 35yrs to 40yrs.
Mungu awakumbuke tu ktk ukuu wake kwa kweli maana soko Lao ndio hivyo tena lishaisha yani wamechuja.
Kuna watu hawajaolewa na wanafuraha tele kuliko ninyi mlioolewaNawahurumia hawa wanawake waliozaliwa 1980s na 1990s ambao mpaka leo hawajaolewa coz most of them by mwakani watakua wanahit 35yrs to 40yrs.
Mungu awakumbuke tu ktk ukuu wake kwa kweli maana soko Lao ndio hivyo tena lishaisha yani wamechuja.
Oya mama Unazngua bana wewe wazazi wako wangekunywa coca na mchai Chai au dingi akamwaga nje wewe ungekuwepo?Huwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto 🏃🏃🏃
Aaah mkuu 😂😂😂Unawahurumia wewe kama nani? Watapewa wazee wenzao .
Hao wasahau tu tena wachukuwe maamuzi magumu kama bado hawajapata watto
Sawa sikia Sasa njoo pm kwanza🤣🤣🤣🤣embu acha kuwaingiza wazazi kwenye maswala yakipuuzi bhana
Wengi wameanza kuwa Single motherBy 2025
Wa 2000 kamili-25 Wa 1999-miaka 26, 1998-miaka 27 1997-miak 28, 1998-miaka 29
(hili kundi nalo vipi)