Kuelekea Mwezi Mtukufu: jana na leo guest houses zimejaa

Kuelekea Mwezi Mtukufu: jana na leo guest houses zimejaa

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Tunapoelekea katika mwezi mtukufu wa Ramadhan, hali inazidi kuwa ya kushangaza. Jana na leo, hoteli na nyumba za kulala wageni zimejaa – lakini si kwa ajili ya ibada au tafakari, bali kwa matendo machafu. Wengine wanajihusisha na uzinzi wakidai wanajiandaa kwa mfungo, jambo linaloleta maswali mengi kuhusu nia na maadili yao.


Pia, kuna tabia mpya ambapo baadhi ya watu wanafunga ndoa kwa haraka, wakijidai kutafuta uhalali wa mahusiano yao kwa muda wa mwezi mmoja. Mara tu Ramadhan inapomalizika, ndoa hizi zinavunjika kama hazikuwahi kuwepo. Je, haya ni maandalizi ya mfungo au ni unafiki wa hali ya juu?


Tuwashangae wanaofunga nini? Mfungo wa Ramadhan unapaswa kuwa kipindi cha kujitakasa, si kufunika dhambi kwa hila. Ni wakati wa kutafakari na kujirekebisha, sio kufanya maovu kisha kujifanya watakatifu.
 
Tunapoelekea katika mwezi mtukufu wa Ramadhan, hali inazidi kuwa ya kushangaza. Jana na leo, hoteli na nyumba za kulala wageni zimejaa – lakini si kwa ajili ya ibada au tafakari, bali kwa matendo machafu. Wengine wanajihusisha na uzinzi wakidai wanajiandaa kwa mfungo, jambo linaloleta maswali mengi kuhusu nia na maadili yao.


Pia, kuna tabia mpya ambapo baadhi ya watu wanafunga ndoa kwa haraka, wakijidai kutafuta uhalali wa mahusiano yao kwa muda wa mwezi mmoja. Mara tu Ramadhan inapomalizika, ndoa hizi zinavunjika kama hazikuwahi kuwepo. Je, haya ni maandalizi ya mfungo au ni unafiki wa hali ya juu?


Tuwashangae wanaofunga nini? Mfungo wa Ramadhan unapaswa kuwa kipindi cha kujitakasa, si kufunika dhambi kwa hila. Ni wakati wa kutafakari na kujirekebisha, sio kufanya maovu kisha kujifanya watakatifu.
Umekagua Guest Houses na Hotels zote Tanzania kwa 2 days ukakuta zimejaa!!! Duh!!! Wewe ni mtu hatari sana.
 
Kwan SI mlisema Kila mtu atabebaa msalaba wake mwenyeweee.vp ww Tena kuanza kuhoji watu kuhusu starehee zao😄
 
Yaah waache waukaribishe mwezi vizuri
 
Huelewi kua ni weekend na ni jambo la kawaida kwa mjini?
 
Sawa mtaalamu wa kukagua gesti nzima Tz ndani ya dakika moja.

Haya pumzika kesho ni jumapili kuna lisanamu kule kanisani mmelijenga wenyewe kwa mifuko miwili ya cement alafu mnaliomba msamaha lipo linakusubiri ukatubu dhambi zako .
 
Tunapoelekea katika mwezi mtukufu wa Ramadhan, hali inazidi kuwa ya kushangaza. Jana na leo, hoteli na nyumba za kulala wageni zimejaa – lakini si kwa ajili ya ibada au tafakari, bali kwa matendo machafu. Wengine wanajihusisha na uzinzi wakidai wanajiandaa kwa mfungo, jambo linaloleta maswali mengi kuhusu nia na maadili yao.


Pia, kuna tabia mpya ambapo baadhi ya watu wanafunga ndoa kwa haraka, wakijidai kutafuta uhalali wa mahusiano yao kwa muda wa mwezi mmoja. Mara tu Ramadhan inapomalizika, ndoa hizi zinavunjika kama hazikuwahi kuwepo. Je, haya ni maandalizi ya mfungo au ni unafiki wa hali ya juu?


Tuwashangae wanaofunga nini? Mfungo wa Ramadhan unapaswa kuwa kipindi cha kujitakasa, si kufunika dhambi kwa hila. Ni wakati wa kutafakari na kujirekebisha, sio kufanya maovu kisha kujifanya watakatifu.
Hiyo huitwa vunja jungu
 
Back
Top Bottom