Kuelekea mwezi mtukufu Zanzibar isiwanyanyase watu wa imani nyingine

Kuelekea mwezi mtukufu Zanzibar isiwanyanyase watu wa imani nyingine

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Hii ni nchi moja isiyo na Dini ila watu wake wana Dini, Wapemba mkiwa huku bara hata muwe eneo lenye wakristo wengi ikifika kwarezma ukipakua chakula chako hakuna anaehangaika nawewe

Zanzibar unakuta polisi wanakamataga watu wanaokula mchana how?, wewe ukimkuta mtu anakula inaharibu nini funga yako, Imani nyingine zikiwa zanzibar ukifika huu mwzi wanaishi kwa tabu mtu kula inabidi ajifiche hii imekaaje mbona mkiwa bara kwarezma hamli kwa kujificha mna uhuru
 
Kila sehemu na taratibu zake, heshimu taratibu za sehemu husika iwe zanzibar, kazini au kanisani

Nawatakia sabato njema
 
Hii ni nchi moja isiyo na Dini ila watu wake wana Dini, Wapemba mkiwa huku bara hata muwe eneo lenye wakristo wengi ikifika kwarezma ukipakua chakula chako hakuna anaehangaika nawewe

Zanzibar unakuta polisi wanakamataga watu wanaokula mchana how?, wewe ukimkuta mtu anakula inaharibu nini funga yako, Imani nyingine zikiwa zanzibar ukifika huu mwzi wanaishi kwa tabu mtu kula inabidi ajifiche hii imekaaje mbona mkiwa bara kwarezma hamli kwa kujificha mna uhuru

Zanzibar mpaka sasa bado siyo nchi yenye Utawala wa kidini. Kuheshimu Uhuru wa Kuabudu wa Watu wengine ni jambo muhimu sana ili Watu waishi kwa Amani na Utulivu
 
Hii ni nchi moja isiyo na Dini ila watu wake wana Dini, Wapemba mkiwa huku bara hata muwe eneo lenye wakristo wengi ikifika kwarezma ukipakua chakula chako hakuna anaehangaika nawewe

Zanzibar unakuta polisi wanakamataga watu wanaokula mchana how?, wewe ukimkuta mtu anakula inaharibu nini funga yako, Imani nyingine zikiwa zanzibar ukifika huu mwzi wanaishi kwa tabu mtu kula inabidi ajifiche hii imekaaje mbona mkiwa bara kwarezma hamli kwa kujificha mna uhuru
Ni ngumu maaana kule sio huku
 
Kama wameweka utaratibu wa kuzuia kula hadharani basi uheshimiwe. Ila kitendo cha kwenda kukamata wanaojipikia majumbani mwao huo ni zaidi ya ushamba.

Rejea hii.

 
Nadhani wapemba walio huku Bara wawe wanarudi kwao Kila Ramadhani kuwaelimisha wenzao kuhusu Secularism.

Wanaosema Kuruani imebeba mafunzo yote, Je Haina Mafunzo ya Kuheshimu Watu wasio waisilamu?
 
Wazanzibar walafi sana ndio maana wakiona watu wanakula wakati wao wamefunga roho huwa zinawatoka sana.

N:B, Zingatia neno wazanzibar sio waislamu.
 
Hii ni nchi moja isiyo na Dini ila watu wake wana Dini, Wapemba mkiwa huku bara hata muwe eneo lenye wakristo wengi ikifika kwarezma ukipakua chakula chako hakuna anaehangaika nawewe

Zanzibar unakuta polisi wanakamataga watu wanaokula mchana how?, wewe ukimkuta mtu anakula inaharibu nini funga yako, Imani nyingine zikiwa zanzibar ukifika huu mwzi wanaishi kwa tabu mtu kula inabidi ajifiche hii imekaaje mbona mkiwa bara kwarezma hamli kwa kujificha mna uhuru
Naomba kujua katika ukristo, jee kuna sharia ya kuwa ikifika KWAREZMA, wakristo wote wanatakiwa wafunge?

Hivi kwanini wengi wa dini işi yokuşa waislam wanatabia wa iuwachokonoa chokonoa waislam?

Jee huo ndio utaratibu wa mafunzo yenu? Mnafundishwa kufanya hivyo?.

Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu.

Sisi tumeshakatazwa kwenye quran tusikutukaneni, iweje nyie kila mkukaa hamuoni raha mpaka muwafanyie mambo ya kuudhi waislam?
 
Back
Top Bottom