Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
"one incredible, Stereo, Niki wa pili" , Yaani hawa jamaa kama wangekuwa ktk kile kizazi cha kwanza cha mziki wa bongo fleva, wangetawala sana. Tatizo kizazi chetu hiki cha sasa tushalishwa sumu eti, hip hop haiuzi, ila jamaa wapo vizuri. Mimi huwaga nawasikilizaga lkn sioni wanapokosea.