Kuelekea Nov 24,hawa ndio Wasanii watakaopanda jukwaani Wasafi Festival Mtwara

Wangepandisha na wahuni wa Singeli...."viroba tupa kule sasa ni mwendo wa Savanna" jamaa anajua sana bila.kumsahau Dulla Makabila
 
"one incredible, Stereo, Niki wa pili" , Yaani hawa jamaa kama wangekuwa ktk kile kizazi cha kwanza cha mziki wa bongo fleva, wangetawala sana. Tatizo kizazi chetu hiki cha sasa tushalishwa sumu eti, hip hop haiuzi, ila jamaa wapo vizuri. Mimi huwaga nawasikilizaga lkn sioni wanapokosea.
 
Hakika Wasafi Festival imeimbamba FEDHA YA KOROSHO wajiandae kuzoa mipesa siku hiyo maaana Mtwara kuchele
 
Huyu orbit makavel ndie msanii pekee Tz anayemkaribia khaligraph jons kwa michano
 
Hakika Wasafi Festival imeimbamba FEDHA YA KOROSHO wajiandae kuzoa mipesa siku hiyo maaana Mtwara kuchele
 

Duke niachie kinasa Watoto wanazingua....Nawascratch kama Stivie B kwenye LP.
Wasanii wanaigiza kaole CD Dukani kina dada wanaigiza ulokole miili buchani twende --Uno
Kitaa kuna wanyama njoo uone vicheche ukiweza Tembeza Rungu kama comrade Kipepe.
 
Sasa fiesta ya dar itakuwa na wasanii gan mbona chuma zote ziko mtwara au dar wako nand na bilinas
 
waongezeke eddykenzo,chamilion,rankadah&naiboi,eddu boy,olamide ,slimcase &liminisce itapendeza
 
wakimleta Chemical na Blue itapendeza sana,huku Nay true boy akivutwa dakika za majeruhi
 
Daah mchizi wangu wa Majengo sokoni moni naye yumo!..
 
Mbona wadada hawapo! wamweke kina Jaydee, Ruby na wengine
 
Tigo Fiesta group,
Whitte kijogoo left

Wasafi Festival group,
Whitte kijogoo joined using invite link
teh teh!
 
Mawingu nasikia nao watawaleta wagongwe wa bongo fleva katika fiesta ya Dar,dogo kawabana hadi wanawakumbuka wagongwe....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…