py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Taifa stars vs south Africa ,vilaza wawili wa soka wanaminyana hapo baadae ,
Siku kadhaa nyuma nilisema kwenye post yangu kuhusiana na mpambano wa Stars na South kuwa vilaza wawili wanakutana hivyo kubashiri mchezo huo ungekuwa vigumu haswa watu wa betting wawe makini sana bahati nzuri Stars ilifanikiwa kuwafunga Bafanabafana vilaza wenzetu kwenye mchezo wa soka.
Stars tumefanikiwa kuvuka na tunakutana na Zambia katika hatua ya nusu fainali ila tuseme ukweli Zambia wapo vizuri sana kuanzia ngazi ya klabu wanafanya vizuri timu kama Zesco,Zanaco nk wanafanya vizuri mashindano ya Africa na kwenye ngazi ya taifa Zambia hivi karibuni imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa mipango mizuri ya chama cha soka cha zambia chini ya aliyekuwa kalusha bwalya. ni miaka michache tu Zambia walifanikiwa kubeba kombe la Afcon na hawakubeba kwa kubahatisha Bali mipango ya kalusha Bwalya ndio imewafanya Zambia wawe wazuri na tishio kwa namna moja au nyingine.
Nyota kama kapumbu,sinkala ,sunzu,kalaba wanafanya vizuri sana achana na akina chirwa waliosajiliwa 200M yanga kwa kuonekana bora lakini harufu ya national team haijui ,achana na mkata umeme wa yanga kuna akina kalaba ,sinkala,Kabwe .
Kwako Salum Mayanga Taifa stars imekuwa ikicheza kwa kujilinda sana kiufupi kupaki basi na mipira mingi inapotea kwenye sehemu ya kiungo nakutahadharisha hawa akina Sinkala,Kabwe ,kalaba sio watu wa mchezo mchezo badilisha uchezaji wa timu la sivyo tutaambulia dhahma kutoka kwa wazambia.
Tukiwafunga zambia basi 100% sina chembe ya shaka Stars watabeba cosafa ila kwasasa tujifunge mkanda kuwaondosha hawa ila Mayanga akiendelea na appeoach yake bora nisiendelee kusema.
Siku kadhaa nyuma nilisema kwenye post yangu kuhusiana na mpambano wa Stars na South kuwa vilaza wawili wanakutana hivyo kubashiri mchezo huo ungekuwa vigumu haswa watu wa betting wawe makini sana bahati nzuri Stars ilifanikiwa kuwafunga Bafanabafana vilaza wenzetu kwenye mchezo wa soka.
Stars tumefanikiwa kuvuka na tunakutana na Zambia katika hatua ya nusu fainali ila tuseme ukweli Zambia wapo vizuri sana kuanzia ngazi ya klabu wanafanya vizuri timu kama Zesco,Zanaco nk wanafanya vizuri mashindano ya Africa na kwenye ngazi ya taifa Zambia hivi karibuni imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa mipango mizuri ya chama cha soka cha zambia chini ya aliyekuwa kalusha bwalya. ni miaka michache tu Zambia walifanikiwa kubeba kombe la Afcon na hawakubeba kwa kubahatisha Bali mipango ya kalusha Bwalya ndio imewafanya Zambia wawe wazuri na tishio kwa namna moja au nyingine.
Nyota kama kapumbu,sinkala ,sunzu,kalaba wanafanya vizuri sana achana na akina chirwa waliosajiliwa 200M yanga kwa kuonekana bora lakini harufu ya national team haijui ,achana na mkata umeme wa yanga kuna akina kalaba ,sinkala,Kabwe .
Kwako Salum Mayanga Taifa stars imekuwa ikicheza kwa kujilinda sana kiufupi kupaki basi na mipira mingi inapotea kwenye sehemu ya kiungo nakutahadharisha hawa akina Sinkala,Kabwe ,kalaba sio watu wa mchezo mchezo badilisha uchezaji wa timu la sivyo tutaambulia dhahma kutoka kwa wazambia.
Tukiwafunga zambia basi 100% sina chembe ya shaka Stars watabeba cosafa ila kwasasa tujifunge mkanda kuwaondosha hawa ila Mayanga akiendelea na appeoach yake bora nisiendelee kusema.