Kuelekea pambano la Yanga vs TP Mazembe!!

Freyzem

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
10,120
Reaction score
24,667
Katika mtanange wa makundi kombe la dhirikisho klabu ya yanga itachuana na Tp Mazembe katika uwanja wa taifa!!
Je kuelekea mtanange huo kuna haja ya Yanga kutaka mashabiki wa timu hiyo pekee kuingia uwanjani bila kuwapa nafasi mashabiki kutoka timu nyingine esp wapinzani wao wa jadi kuingia uwanjani..? Ni sababu zipi kubwa zinazowafanya yanga kutaka kuthibiti mashabiki kutoka timu nyingine..
 
Matatizo mengini ni pamoja Na USHAMBA
 
πŸ˜€Yanga wajitahidi wasituangushe bana. Wasikubali goli zaidi ya tatu. Angalau wakipigwa mbili au tatu tutawaelewaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜€Yanga wajitahidi wasituangushe bana. Wasikubali goli zaidi ya tatu. Angalau wakipigwa mbili au tatu tutawaelewaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mkuu shida yako yanga apigwe
 
duuu hii kitu iko kote #Africa coz nakumbuka Yanga vs APR mashabiki wa #Rayonsport waliishangalia #YANGA...hapo nagundua somo la #CIVICS/URAIA bado ni muhimu sana kwa nchi za Kiafrika that why wale #whitecolours hawakupata shda kukutawala ukipewa kioo tu unasaliti #Kijiji kizima...#PATRIOTISM#
 
Hao mazembe hawajui kua baba yao amefungwa miaka mi3?huu muda walitakiwa wawe wanafanya maombi mzee wao apone japo apunguziwe.
 
πŸ˜€Yanga wajitahidi wasituangushe bana. Wasikubali goli zaidi ya tatu. Angalau wakipigwa mbili au tatu tutawaelewaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mkuu sasa yanga wakikubali matatu, watafunga mangapi...
 
Nakubaliana wewe lakini kwa kizazi hiki hilo linaweza lisifue dafu...
 
Washapiga ramli na washapewa matokeo kaka siunajua mpira wa bongo?
Hahahaa..siku hizi wapiga ramli huwa wanabet na wanapararuliwa na mhindi! Ila wabongo ni kiboko...
 
dooh... Leo nimekaa taifa kapita kolo mmoja et anauza jezi za tp na machoko wengine wanazinunua
Wanatumia fursa! Ujasiriamali huo..alafu wengine waweza kuwa ni wakutoka kenshasa...
 
Kwanini mnawaita mashabiki wa simba wakati yenyewe haichezi?
Kwanini msiwaite mashabiki wa TP?
 
Tatizo hili haliepukiki mpaka pale itakapofikia kila timu inatumia uwanja wake binafsi. Na kupewa haki ya kuuza tiketi zao wenyewe. Mpira Bongo ni magumashi na mizengwe mitupu. Ndio maana watu wengi tumeachana nao tumeamua kufuatilia ligi za mpira wa kulipwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…