Kuelekea robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika Simba SC dhidi ya TP Mazembe, Watafungwa Kama Waliotangulia

Kuelekea robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika Simba SC dhidi ya TP Mazembe, Watafungwa Kama Waliotangulia

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Kuelekea mchezo wa robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo wawakilishi pekee Afrika Mashariki na Mabingwa wa Nchi Simba SC Mnyama, atapapatuana na TP Mazembe siku ya Jumamosi Aprili 6, 2019 kunako uwanja wa Taifa National Stadium.

Ni yetu matumaini kuwa Simba SC atamchapa TP Mazembe kama alivyowachapa Waliotangulia Kabla yake katika uwanja wa Taifa kutokana sababu ya udhaifu wa TP Mazembe kwa miaka hii na Ubora wa Simba SC kwa sasa.

Kikosi cha Simba SC ambacho kwa sasa ni hatari, kikosi cha Mwana Kulipewa..Mwana Kulitaka, chini ya Kocha Patrick Aussems kimejiandaa vilivyo kuweza kuwafurusha wakongo hao na kuzidi kuweka heshima ya Klabu na Taifa kwa Ujumla. Kuwa Mzalendo kwa Maslahi Mapana ya Taifa.

Kuanzia sasa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Klabu ya Simba Mohammed Dewji MO atazungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo huo..Usikose Ukaambiwa.

IMG_20190402_105529_373.jpeg
tapatalk_1554191938793.jpeg
IMG_20190405_103605_092.jpeg
 
Pale ni "kwa mchina"
Hayo majina mengine mnajitafutia laana ya kufungwa.
Kama mnataka kumuimbia nyimbo za kumuabudu che-nkapa nendeni Lupaso.

TUKUTANE KWA MCHINA
 
Kuelekea mchezo wa robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo wawakilishi pekee Afrika Mashariki na Mabingwa wa Nchi Simba SC Mnyama, atapapatuana na TP Mazembe siku ya Jumamosi Aprili 6, 2019 kunako uwanja wa Taifa Mkapa Stadium.

Ni yetu matumaini kuwa Simba SC atamchapa TP Mazembe kama alivyowachapa Waliotangulia Kabla yake katika uwanja wa Taifa kutokana sababu ya udhaifu wa TP Mazembe kwa miaka hii na Ubora wa Simba SC kwa sasa.

Kikosi cha Simba SC ambacho kwa sasa ni hatari, kikosi cha Mwana Kulipewa..Mwana Kulitaka, chini ya Kocha Patrick Aussems kimejiandaa vilivyo kuweza kuwafurusha wakongo hao na kuzidi kuweka heshima ya Klabu na Taifa kwa Ujumla. Kuwa Mzalendo kwa Maslahi Mapana ya Taifa.

Kuanzia sasa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Klabu ya Simba Mohammed Dewji MO atazungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo huo..Usikose Ukaambiwa.

View attachment 1063082View attachment 1063083View attachment 1063084
Pale Ni kwa mchina machinjioni
ukiingiza majina ya ma CCM na Viongozi utatupa gundu la kufungwa

Hebu mkuu Kwa faida ya wanasimba na Wana Jf
Toa neno "Kwa Mkapa" na weka lile la mabingwa "Kwa Mchina"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom