Tunapo elekea kwenye kilele cha maadhimisho ya kimataifa ya kupambana na madawa ya kulevya ambapo kilele ni tarehe 1/7 na trh. 2/7, kama nchi tunapaswa tujitathimini hali yetu kama nchi, Je vita ya kupambana na madawa ya kulevya insaidia kupunguza au hali ni mbaya?
Nini kifanyike ili kukomesha madawa ya kulevya.
Wauza madawa ya kulevya tunaishi nao ktk mitaa yetu, tuwafichue.
Tunaziomba mamlaka za kupambana na madawa ya kulevya wasirudi nyuma wala wasiwaonee aibu wauza madawa ya kulevya.
Tupambane na dawa za kulevya kwa vitendo sio maneno. wananchi wanataka kuona wauzaji wanakamatwa na kufungwa jela.
Nini kifanyike ili kukomesha madawa ya kulevya.
Wauza madawa ya kulevya tunaishi nao ktk mitaa yetu, tuwafichue.
Tunaziomba mamlaka za kupambana na madawa ya kulevya wasirudi nyuma wala wasiwaonee aibu wauza madawa ya kulevya.
Tupambane na dawa za kulevya kwa vitendo sio maneno. wananchi wanataka kuona wauzaji wanakamatwa na kufungwa jela.