Tariqfinest
Member
- Jul 13, 2021
- 16
- 23
Majibu ya Maswali yako yote ni NDIO...Kuelekea siku ya Simba day wewe mpenzi wa soka Nchini je unamajibu ya maswali haya ??
1, Je simba itaendelea kuwa bora kama msimu uliopita.?
2, maingizo mapya kikosini yataleta tija kama matumaini ya wengi ?
3, Je Mazembe ni kipimo kizuri mbele ya mashabiki kukipima kikosi
4, ushindi mechi 2 na sare 2 pre season inatupa picha gani
5, Ongezeko la mwalim msaidizi wa ziada lina tija ?View attachment 1939723View attachment 1939724View attachment 1939725
Maswali yamekaa ki utopolo utopolo SISI KAMA SIMBA TUNA MUNGU NO doubtKuelekea siku ya Simba day wewe mpenzi wa soka Nchini je unamajibu ya maswali haya?
1, Je simba itaendelea kuwa bora kama msimu uliopita?
2, maingizo mapya kikosini yataleta tija kama matumaini ya wengi?
3, Je Mazembe ni kipimo kizuri mbele ya mashabiki kukipima kikosi
4, ushindi mechi 2 na sare 2 pre season inatupa picha gani
5, Ongezeko la mwalim msaidizi wa ziada lina tija ?
View attachment 1939725
Ntafanyia kazi mkuuMajibu ya Maswali yako yote ni NDIO...
Siku nyingine uwe unauliza maswali magumu na ya kufikirisha...
Maswali ya kizembeKuelekea siku ya Simba day wewe mpenzi wa soka Nchini je unamajibu ya maswali haya?
1, Je simba itaendelea kuwa bora kama msimu uliopita?
2, maingizo mapya kikosini yataleta tija kama matumaini ya wengi?
3, Je Mazembe ni kipimo kizuri mbele ya mashabiki kukipima kikosi
4, ushindi mechi 2 na sare 2 pre season inatupa picha gani
5, Ongezeko la mwalim msaidizi wa ziada lina tija ?
View attachment 1939725
1.Simba itaendelea kuwa Bora na pengine itaongeza ubora zaidi ya msimu uliopitaKuelekea siku ya Simba day wewe mpenzi wa soka Nchini je unamajibu ya maswali haya?
1, Je simba itaendelea kuwa bora kama msimu uliopita?
2, maingizo mapya kikosini yataleta tija kama matumaini ya wengi?
3, Je Mazembe ni kipimo kizuri mbele ya mashabiki kukipima kikosi
4, ushindi mechi 2 na sare 2 pre season inatupa picha gani
5, Ongezeko la mwalim msaidizi wa ziada lina tija ?
View attachment 1939725
Nmekuelewa sana mkuu1.Simbi itaendelea kuwa Bora na pengine itaongeza ubora zaidi ya msimu uliopita
2.Maingizo mapya ni mazuri nayanatakiwa kupewa nafasi hasa Inonga,Peter Banda na Dancan Nyoni lakini Kanote na Sakho wanauwasha kwanzia mechi ya kwanza
3.Mazembe ni kipimo kwakuwa ile mechi ya Simba day sio miongoni mwa mechi za maandalizi but is just of pride so you must come with Giant that can convince the audiance to respond
4.Matokeo ya mechi za kirafiki hata hayaonyeshi timu inafanyaje ,foristance last two season real Madrid were beaten 8-1 by Atletico Madrid in pre season but still real were win La liga.
5.Kuhusu suala la Hitimana Thierry ,If himself respect his job and it's principals also if he respect his Bosses in technical benches that is Gomes and Matola he must add something because of his experience in African football
Duh simba imekua SIMBI1.Simbi itaendelea kuwa Bora na pengine itaongeza ubora zaidi ya msimu uliopita
2.Maingizo mapya ni mazuri nayanatakiwa kupewa nafasi hasa Inonga,Peter Banda na Dancan Nyoni lakini Kanote na Sakho wanauwasha kwanzia mechi ya kwanza
3.Mazembe ni kipimo kwakuwa ile mechi ya Simba day sio miongoni mwa mechi za maandalizi but is just of pride so you must come with Giant that can convince the audiance to respond
4.Matokeo ya mechi za kirafiki hata hayaonyeshi timu inafanyaje ,foristance last two season real Madrid were beaten 8-1 by Atletico Madrid in pre season but still real were win La liga.
5.Kuhusu suala la Hitimana Thierry ,If himself respect his job and it's principals also if he respect his Bosses in technical benches that is Gomes and Matola he must add something because of his experience in African football
Typing error bro, forgive meDuh simba imekua SIMBI
Mbeya City tunashiriki michuano gani Tena?Hivi siku hiyo ndo mtakuwa safarini baada ya kula kichapo kule River State na kuondoshwa kwenye michuano ya wakubwa?
Simbilisi kabisaDuh simba imekua SIMBI
Uko sahihi Simba ni SIMBI.............. SIMBILISITyping error bro, forgive me