Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Nikiangalia kwa jinsi hali ilivyo sasa yaani nabubujikwa machozi ya huzuni! Si wazee wala vijana wote tumeamua kuwa machawa! Hii inamaanisha hata viongozi tutakao wachagua watashika nafasi hizo sababu ya uchawa na si sababu wana uwezo wa kutuwakilisha na kuongoza taifa.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Uzuri ni kwamba bado tuna nafasi ya kubadilisha hali hii, bado tuna nafasi ya kuua uchawa na kuhakikisha tunapata viongozi wanaofaa kuhakikisha tunapata fyucha inayotoa matumaini.
Wewe kama kijana (na wazee mkisindikiza jahazi kama wasahuri) nini kifanyike sasa kuhakikisha ushiriki wa vijana unaongeza, na sio kuongezeka tu bali kuwa wenye tija na kuleta mabadiliko?
Soma, Pia
- CCM chukua tahadhari, vijana wameanza kuichukua nafasi yao
- Ushiriki wa vijana wa kike kwenye uchaguzi nchini ni suala muhimu katika kuimarisha demokrasia
- Makonda: Vijana achaneni na siasa, hailipi. Pesa ndiyo inalipa
- Najiandaa kugombea ubunge jimbo la Mwibara 2025
Matukio ya vijana kuelekea 2025;
Januari
- Vijana hatuna chetu, wazee bado wanaendelea kulamba teuzi
- Lissu atafanya vijana wengi wakapige Kura Uchaguzi Mkuu
- Wasanii mbalimbali watua Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM: Hivi, Wanaenda kwa lengo la Maendeleo au Wanatumika kwa Agenda za Kisiasa?
- Baadhi ya wanachuo wapinga hoja ya Tundu Lissu, ya "No Reform No Election", wasema sio kisemeo cha Taifa
- Waziri Kivuli wa ACT Wazalendo Ndolezi Petro atangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kigoma Kusini
- Kijana kama hutakuwa na pesa usipoteze muda kugombea Ubunge au Udiwani CCM
- Wasomi wanaomsifia Rais Samia wasema wanachukizwa kuitwa chawa, wasema wao ni watu wenye akili timamu
- VIDEO: Vijana wajipaka matope mwili mzima na kupita mbele ya Rais Samia kwenye birthday ya CCM
- PICHA: Vijana wa UVCCM walivyopiga magoti na mabango ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM
- Hii ndio hazina ya vijana CCM tunaotegemea wawe mfano wa uongozi kwa vijana wengine nchini
- DC Muheza akabidhi Pikipiki 10 kwa UVCCM Tanga, ahamasisha Ushindi wa CCM
- Mbunge wa Hai asema Wananchi wanasema Rais Samia apitishwe bila kupingwa kama walivyofanya CCM Dodoma
- Mjumbe UVCCM Taifa: Vijana tuna jukumu la kutafuta kura za Dkt. Samia
- Ukipigwa Mdahalo kati ya Mwenyekiti UVCCM na Mwenyekiti BAVICHA ni wazi wa UVCCM ataonekana ni mweupe!
- Baada ya mahojiano ya kumchafua Lissu kugoma Generation Samia wafanya matembezi Singida kumshukuru Samia kwa fursa za uchumi!
- Mwenyekiti wa 'Mama Asemewe: Anayetaka tusishiriki katika uchaguzi kwa hoja zozote hana mapenzi na taifa letu
- Mwenyekiti kampeni ya 'Mama asemewe': Tupo tayari kuilinda nchi yetu kwa jasho na damu
- Evaristi Gerevas: Vijana msiishie kuwa wapambe na wabeba mikoba ya wagombea, gombeeni ubunge na udiwani
- Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025
- Mhamasishaji Michael Msechu na DC Petro Magoti wakutana kufanya ziara ili kuhamasisha vijana kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura
- Mjumbe UVCCM Geita, Sagayika awataka Vijana watakiwa kuacha kubeba mabegi ya wagombea
- Mohamed Kawaida: Ajenda ya mitano tena ni kwa Rais Samia na Rais Mwinyi tu. Vijana twende tukagombee
- Rais Mwinyi: UVCCM endeleeni kuhamasisha vijana ccm ishinde na kushika dola
- Ukiona Mwanasiasa Kijana anamsifia Mwanasiasa mzee elewa kuwa Huyo Kijana hana Maono kabisa!
- Vijana Tanzania wanaweza kubeti, kushabikia Simba na Yanga na Uchawa kwisha habari!
- CCM yawahimiza vijana na madereva wa Boda boda kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura
- Shamira Mshangama: Vijana lazima tuyaseme makubwa yanayofanywa na Dkt. Samia
- Vijana wachoma nyama Mbande, waomba bendera za CCM
- Mchekeshaji mzee Shayo apiga magoti kupokea bahasha ya maokoto kutoka kwa Rais Samia. Ampigia debe urais 2025
- PICHA: Machawa wa ankali (Dkt. Mwinyi) na Generation Samia (GEN S) washirikiana kuandaa Pilau Day Zanzibar
- Tanga: Katibu Mkuu wa UVCCM Jokate Mwegelo aongoza matembezi wa Wana CCM kumkaribisha Rais Samia Tanga
- Mwenyekiti UVCCM Songwe: Nimeongea na viongozi vijana wa upinzani wamekataa "No Reforms No Election", waungana na Rais Samia
- Mjumbe Halmashauri ya Kuu CCM: Vijana wa CCM wanaowatukana viongozi kwenye magroup ya Whatsap hatutawapa nafasi za uongozi
- Wakili Mwanaisha Mndeme atangaza kugombea Ubunge jimbo la Kigamboni kupitia ACT Wazalendo. Ataweza kumrithi Ndugulile?
- Pre GE2025 - Mbunge wa Covid 19, Nusrat Hanje atangaza kugombea jimbo la zamani la Tundu Lissu, Singida Mashariki
- Kijana mzalendo David Nkindikwa apinga vikali kauli ya CHADEMA ya 'No Reform, No Election'
- Vijana wameanza kuamka na kuchukua nafasi yao kwenye siasa na maendeleo ya nchi?
- UVCCM Geita, wamewataka Wabunge na Madiwani wasijihalalishie Mitano tena
- Vijana Kilosa waitwa kujiandikisha kwenye daftari la wapiga Kura
- Kijana wa Kigoma achora tattoo ya sura ya Waziri Mkuu, Majaliwa kifuani mwake
- Mwenyekiti BAVICHA, Mahinyila: Vijana wanaoikosoa Serikali hawataisha, watu wanaokupinga huwezi kuwamaliza
- UVCCM Mwanza waunga mkono NETO, Waitaka Serikali Itoe Ajira
- UVCCM Geita yamtaka Mbunge Kanyasu aombe radhi vijana kwa kauli zake
- Vijana ni kundi lililotengwa na uongozi
- Manjale: Vyama vingine vilikuwa vinasema bodaboda ni kazi ya laana
- Ally Hapi: Vijana nguvu ya vyama vya Ukombozi, asisitiza uongozi imara
- Vijana tuchague viongozi ambao wapo 'real', tusiangalie mionekano na fedha
- Mwenyekiti UVCCM Mara awataka vijana kusaidia kuzuia wizi wa mifugo Rorya
- Mwanyemba: Wanaoisaliti CCM ni wanachama wake
- Vijana wahamasishwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha Kupiga Kura