Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba: Kuna uwezekano mkubwa wa Mitandao ya Kijamii kuzimwa

Jamaa wana hamisha sana goli,,sijui wana hofu gani wakati uwanja wa mpira ni wao,tareh ya mechi walipanga wao,marefarii wamechagua wao ila bado hawataki hata mpira mmoja ulenge lango lao,,wakiona tu mpira unakuja wanatoa goli

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Leo limetimia mkuu[emoji22]
 
You can't imagine Brethren!....ninaishi jirani kabisa na unapoishi wewe na ninavyokufahamu sikutegemea utatoa maneno ya hovyo kiasi hiki...
Hizi ni lugha za kisiasa kama madreva wanavyozozana barabarani. Dont take it personally![emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…