Pre GE2025 Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 ni Chama kipi kitatoa mgombea Bora?

Pre GE2025 Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 ni Chama kipi kitatoa mgombea Bora?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mmaroroi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2008
Posts
4,635
Reaction score
2,271
Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 wapiga kura watawapima waliokuwa madarakana kwa mafanikio ya ahadi zao. Ambao hawakuwa madarakana watawapima kwa uaminifu wao kwa utetezi kwa wananchi. Wewe unasemaje kuhusu hili?
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 wapiga kura watawapima waliokuwa madarakana kwa mafanikio ya ahadi zao. Ambao hawakuwa madarakana watawapima kwa uaminifu wao kwa utetezi kwa wananchi. Wewe unasemaje kuhusu hili?
Nani atahesabu kura??
 
Na ieleweke kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki hivyo uamuzi wa mashindi ni wapiga kura. Chama kipi cha Siasa Tanzania kina sera nzuri na kuaminiwa na wapiga kura kwa mgombea wao?
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 wapiga kura watawapima waliokuwa madarakana kwa mafanikio ya ahadi zao. Ambao hawakuwa madarakana watawapima kwa uaminifu wao kwa utetezi kwa wananchi. Wewe unasemaje kuhusu hili?
Obviously mchuano utakuwa ni kati ya mgombea wa Ccm na Mgombea wa CDM
Labda kama Umoja Party itapata usajili hapo kasheshe jingine litazuka !
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 wapiga kura watawapima waliokuwa madarakana kwa mafanikio ya ahadi zao. Ambao hawakuwa madarakana watawapima kwa uaminifu wao kwa utetezi kwa wananchi. Wewe unasemaje kuhusu hili?
CCM inatosha
 
Ingesajiliwa hiyo Umoja Party ingefaa ili ushindani uwe mkali na uwezekano wa kumpata Rais Bora wa Nchi yetu uwe mkubwa zaidi.
Kabisa kabisa 🙏
Umeongea point kubwa sana !
Hii yote ni kwa manufaa ya Nchi yetu !
Tuangalie Zaidi maslahi ya Nchi yetu kuliko maslahi ya vyama vyetu pekee !
 
Kiongozi mwaminifu ni yule anayeyaongea anayoyaishi.
 
Ubora wa Mgombea ni kuwa na hofu ya Mungu na kujali uhai wa binadamu na kulinda kikamilifu rasilimali za Nchi.
 
Ccm kuanzia mawaziri wote manaibu na wakuu wa mikoa hakuna mtu mwenye uwezo wakushindana na lissu kwa sasa.
 
Back
Top Bottom