Moja kwa moja kwenye mada,bei ya vifaa mbalimbali vya ujenzi imeruka kama ifuatavyo.
Mikoani bei ya Mfuko mmoja wa saruji(cement) umepanda kutoka 14500 nwezi wa februari hadi 20000 bei ya leo.
Nondoimepanda kutoka 15000 hadi 18000..
Bati chapa Kiboko zimepanda kutoka Tsh 240,000 hadi 320,000/=
Kwa kifupi bei imefumuka.
Nini tatizo?
Nani anawakoa wananchi?
Mikoani bei ya Mfuko mmoja wa saruji(cement) umepanda kutoka 14500 nwezi wa februari hadi 20000 bei ya leo.
Nondoimepanda kutoka 15000 hadi 18000..
Bati chapa Kiboko zimepanda kutoka Tsh 240,000 hadi 320,000/=
Kwa kifupi bei imefumuka.
Nini tatizo?
Nani anawakoa wananchi?