Nina jirani yangu amekuwa kero sana kuelekea hiki kipindi cha watu wapendanao.
Vioja na vituko anavyo nifanyia imekuwa too much sijui ananilingishia? Kila siku anabadili wanawake kila sample anakuja nao leo nimechoka nimeona anafanya matusi uwanjani sijui nifanyaje nimpeleke kwa mjumbe? Nikimwambia anaweza sema namwonea gele dahh heshima sasa imeenda likizo huyu jamaa.
Sijui anatest yupi wa kutoka nae 14/02 dah wala sijui
Nina jirani yangu amekuwa kero sana kuelekea hiki kipindi cha watu wapendanao.
Vioja na vituko anavyo nifanyia imekuwa too much sijui ananilingishia? Kila siku anabadili wanawake kila sample anakuja nao leo nimechoka nimeona anafanya matusi uwanjani sijui nifanyaje nimpeleke kwa mjumbe? Nikimwambia anaweza sema namwonea gele dahh heshima sasa imeenda likizo huyu jamaa.
Sijui anatest yupi wa kutoka nae 14/02 dah wala sijui
Nina jirani yangu amekuwa kero sana kuelekea hiki kipindi cha watu wapendanao.
Vioja na vituko anavyo nifanyia imekuwa too much sijui ananilingishia? Kila siku anabadili wanawake kila sample anakuja nao leo nimechoka nimeona anafanya matusi uwanjani sijui nifanyaje nimpeleke kwa mjumbe? Nikimwambia anaweza sema namwonea gele dahh heshima sasa imeenda likizo huyu jamaa.
Sijui anatest yupi wa kutoka nae 14/02 dah wala sijui
Pole mpwa jirani hafai kabisa kama kuna watoto analeta picha gani?? bora ukamshitaki tuu
Mpwa nilitaka kushangaa wiki ikate hii bila kituko cha Uswahilini..lol:clap2:
Mpwa nimetoka kupiga Kili narudi naona jamaa anacheza uwanjani huu mchezo wa faragha
Mpwa nilitaka kushangaa wiki ikate hii bila kituko cha Uswahilini..lol:clap2: