Kuelekea Yanga vs Simba refa asiwe mwanamke

Kitoabu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
10,677
Reaction score
11,768
Ili kuleta msisimko zaidi ya mechi hiyo ingependeza refa awe mwanaume, maana hii ni zaidi ya mechi hapa Bongo.

Iko wazi wenzetu jisia ya kike hawawezi kuhimili mikimiki ya mechi ngumu kama hizi.

Tuliona kule tanga kilicho tokea, na tunaendelea kuona kwenye mechi nyingi tu zinazo chezeshwa na marefa wa kike pressure huwa juu kwa waamuzi hao.

Sasa ili kuondoa lawama zisizo na sababu, ni kheri mechi hii ichezeshwe na mwamuzi wakiume.

Binafsi nilipendelea show hii isimamiwe na RAMADHANI KAYOKO.

Huyu mwamba huwa hana masikhara kabisa, na nikati ya marefa wachache wenye kuhimili pressure ya mchezo.

NAWASILISHA.
 
Ingependeza refa atoke nje kama Kenya , Uganda , Rwanda nk
 
Hii dabi wangetaka kujipaisha wangeleta marefa toka nje, marefa wa kibongo wengi wanachezesha kwa maelekezo.
 
N
Marefa wote wa bongo ovyo tu. Ubataka achezeshe nani? Arajiga au Kayoko? Balaa tupu. Naona ni mwendo wa Bahasha tu.
Kwa nini mechi ichezwe saa 11 na siyo saa kumi. Mganga wa kinyumenyume FC kawaambia hivyo? Maana inajulikana TFF wako upande gani siku zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…