Kuelewa picha ya Nyerere, Kawawa, Kambona 1960s

Kuelewa picha ya Nyerere, Kawawa, Kambona 1960s

paulbjerk

Member
Joined
Mar 7, 2013
Posts
6
Reaction score
1
Wana-JF, Naomba msaada kutambulisha ni tokeo gani katika picha hii. Naikadhiria kuwa 1964 lakini inaweza kuwa kabla au baada ya hapo. Nawatambua Oscar Kambona, Rashid Kawawa, na Mwalimu Nyerere, lakini siwafahamu wengine, wala kujua askari mzungu ni nani. Asanteni kwa msaada wowote. Paulo
 
Wana-JF, Naomba msaada kutambulisha ni tokeo gani katika picha hii. Naikadhiria kuwa 1964 lakini inaweza kuwa kabla au baada ya hapo. Nawatambua Oscar Kambona, Rashid Kawawa, na Mwalimu Nyerere, lakini siwafahamu wengine, wala kujua askari mzungu ni nani. Asanteni kwa msaada wowote. Paulo

Sijui, inaoekana picha haionekani. Nitajaribu attachment tena.
 

Attachments

  • 1397748777947.jpg
    1397748777947.jpg
    81 KB · Views: 405
Back
Top Bottom