LGE2024 Kuendelea kwa Chaguzi za ndani Chadema wakati tupo kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa inaashiria hawakujiandaa

LGE2024 Kuendelea kwa Chaguzi za ndani Chadema wakati tupo kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa inaashiria hawakujiandaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Huwezi ukaudanganya umma siku zote.

Kwa vyovyote vile ilijulikana kuwa Kutakuwa na Uchaguzi wa SM mwaka huu na mwezi huu. Lakini inashangaza kuona CDM wapo kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kutafuta viongozi wao.

Kamwe wasitudanganye kwamba wanaweza kuingia kwenye uchaguzi wa SM huku wakiwa wanalumbana na kupigania uongozi ndani ya chama chao.
 
Huwezi ukaudanganya umma siku zote !
Kwa vyovyote vile ilijulikana kuwa Kutakuwa na Uchaguzi wa SM mwaka huu na mwezi huu.
lakini inashangaza kuona CDM wapo kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kutafuta viongozi wao.

Kamwe wasitudanganye kwamba wanaweza kuingia kwenye uchaguzi wa SM huku wakiwa wanalumbana na kupigania uongozi ndani ya chama chao.
Ndo maana mmeweka pingamizi kwenye mambo ya kitoto kabisa?
 
Huwezi ukaudanganya umma siku zote !
Kwa vyovyote vile ilijulikana kuwa Kutakuwa na Uchaguzi wa SM mwaka huu na mwezi huu.
lakini inashangaza kuona CDM wapo kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kutafuta viongozi wao.

Kamwe wasitudanganye kwamba wanaweza kuingia kwenye uchaguzi wa SM huku wakiwa wanalumbana na kupigania uongozi ndani ya chama chao.
Uchaguzi wa SM za mitaa ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Cdm waendelee na chaguzi zao, sio huo upuuzi wa serekali za mitaa.
 
Huwezi ukaudanganya umma siku zote !
Kwa vyovyote vile ilijulikana kuwa Kutakuwa na Uchaguzi wa SM mwaka huu na mwezi huu.
lakini inashangaza kuona CDM wapo kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kutafuta viongozi wao.

Kamwe wasitudanganye kwamba wanaweza kuingia kwenye uchaguzi wa SM huku wakiwa wanalumbana na kupigania uongozi ndani ya chama chao.
Makamu Mwenyekiti wa CCM ni Nani vile?
 
Huwezi ukaudanganya umma siku zote.

Kwa vyovyote vile ilijulikana kuwa Kutakuwa na Uchaguzi wa SM mwaka huu na mwezi huu. Lakini inashangaza kuona CDM wapo kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kutafuta viongozi wao.

Kamwe wasitudanganye kwamba wanaweza kuingia kwenye uchaguzi wa SM huku wakiwa wanalumbana na kupigania uongozi ndani ya chama chao.
Umeshawahi kuyatafakari,kuyaelewa na kuishi hayo maneno yaliyo kwa signature yako!!??
 
Huwezi ukaudanganya umma siku zote.

Kwa vyovyote vile ilijulikana kuwa Kutakuwa na Uchaguzi wa SM mwaka huu na mwezi huu. Lakini inashangaza kuona CDM wapo kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kutafuta viongozi wao.

Kamwe wasitudanganye kwamba wanaweza kuingia kwenye uchaguzi wa SM huku wakiwa wanalumbana na kupigania uongozi ndani ya chama chao.
Vipi mbona mnahangaika sana na CHADEMA? 😂😂😂moto ni uleule HATUPOI mpaka mteme bungo
 
Wao walijianda ila ambao hutukuwa tumejianda kusikia habari
Huwezi ukaudanganya umma siku zote.

Kwa vyovyote vile ilijulikana kuwa Kutakuwa na Uchaguzi wa SM mwaka huu na mwezi huu. Lakini inashangaza kuona CDM wapo kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kutafuta viongozi wao.

Kamwe wasitudanganye kwamba wanaweza kuingia kwenye uchaguzi wa SM huku wakiwa wanalumbana na kupigania uongozi ndani ya chama chao.
Hizo ndio tunashangaa
 
Wao walijianda ila ambao hutukuwa tumejianda kusikia habari
Huwezi ukaudanganya umma siku zote.

Kwa vyovyote vile ilijulikana kuwa Kutakuwa na Uchaguzi wa SM mwaka huu na mwezi huu. Lakini inashangaza kuona CDM wapo kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kutafuta viongozi wao.

Kamwe wasitudanganye kwamba wanaweza kuingia kwenye uchaguzi wa SM huku wakiwa wanalumbana na kupigania uongozi ndani ya chama chao.
Hizo ndio tunashangaa
 
Huwezi ukaudanganya umma siku zote.

Kwa vyovyote vile ilijulikana kuwa Kutakuwa na Uchaguzi wa SM mwaka huu na mwezi huu. Lakini inashangaza kuona CDM wapo kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kutafuta viongozi wao.

Kamwe wasitudanganye kwamba wanaweza kuingia kwenye uchaguzi wa SM huku wakiwa wanalumbana na kupigania uongozi ndani ya chama chao.
CHADEMA WAHUNI HAO BAADAE WAJE WASEME WAMEIBIWA KURA
 
Wagombea wanaolilia kuwa wanakatwa ni chini ya asilimia 30 ya vijiji vilivyopo nchini.
yaani CCM IMeshachukua asilimia 70+ ya vijiji hata kabla ya uchaguzi
 
Back
Top Bottom