Kuenzi jitihada za kudai katiba mpya za kamanda Mbowe, makongamno yendelee nchi nzima

Kuenzi jitihada za kudai katiba mpya za kamanda Mbowe, makongamno yendelee nchi nzima

Dawa ya moto ni moto, ili katiba mpya ipatikane basi ni mwendo wa makongamano uanze.

Kama lile la Mwanza liliwatetemesha na kukubali matokeo basi tujipange kama chama tuanzishe makongamano tena.

My take: Hakuna kubaki nyuma na kurudi nyuma. Mbele kwa mbele kudai katiba mpya.
Kwani Kamanda linalofuata litakuwa wapi?
 
Dawa ya moto ni moto, ili katiba mpya ipatikane basi ni mwendo wa makongamano uanze.

Kama lile la Mwanza liliwatetemesha na kukubali matokeo basi tujipange kama chama tuanzishe makongamano tena.

My take: Hakuna kubaki nyuma na kurudi nyuma. Mbele kwa mbele kudai katiba mpya.
nenda wewe na familia yako, tuache sisi tukatafute mkate wa watoto.
nani anataka matatizo usawa huu.
Lema mwenyewe yupo Canada anakula kuku na familia yake, mbona haji huku kudai katiba kama ana uchungu kweli zaidi ya kutu chochea tu.
za kwambiwa changanya na za kwako.
 
nenda wewe na familia yako, tuache sisi tukatafute mkate wa watoto.
nani anataka matatizo usawa huu.
Lema mwenyewe yupo Canada anakula kuku na familia yake, mbona haji huku kudai katiba kama ana uchungu kweli zaidi ya kutu chochea tu.
za kwambiwa changanya na za kwako.
Mwenye nini?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
nenda wewe na familia yako, tuache sisi tukatafute mkate wa watoto.
nani anataka matatizo usawa huu.
Lema mwenyewe yupo Canada anakula kuku mbona haji huku kudai katiba kama ana uchungu kweli zaidi ya kutu chochea tu.
za kwambiwa changanya na za kwako.
Wewe ni walewale, hivyo sitakushangaa. Mundo bambikizi, kundi nufaika na mfumo uliopo, lazima kulinda maslahi, mkono usonge kinywani.
 
Wewe ni walewale, hivyo sitakushangaa. Mundo bambikizi, kundi nufaika na mfumo uliopo, lazima kulinda maslahi, mkono usonge kinywani.
Kamanda Halima Mdee, Matiku, Bulaya ulawasikia wanadai kitu kama hicho? wanajitambua, hao ndio wapambanaji wa ukweli
 
nenda wewe na familia yako, tuache sisi tukatafute mkate wa watoto.
nani anataka matatizo usawa huu.
Lema mwenyewe yupo Canada anakula kuku na familia yake, mbona haji huku kudai katiba kama ana uchungu kweli zaidi ya kutu chochea tu.
za kwambiwa changanya na za kwako.
Mambo ya kudai haki tuachie sisi.
 
Back
Top Bottom