Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kwani Kamanda linalofuata litakuwa wapi?Dawa ya moto ni moto, ili katiba mpya ipatikane basi ni mwendo wa makongamano uanze.
Kama lile la Mwanza liliwatetemesha na kukubali matokeo basi tujipange kama chama tuanzishe makongamano tena.
My take: Hakuna kubaki nyuma na kurudi nyuma. Mbele kwa mbele kudai katiba mpya.
nenda wewe na familia yako, tuache sisi tukatafute mkate wa watoto.Dawa ya moto ni moto, ili katiba mpya ipatikane basi ni mwendo wa makongamano uanze.
Kama lile la Mwanza liliwatetemesha na kukubali matokeo basi tujipange kama chama tuanzishe makongamano tena.
My take: Hakuna kubaki nyuma na kurudi nyuma. Mbele kwa mbele kudai katiba mpya.
Mwenye nini?nenda wewe na familia yako, tuache sisi tukatafute mkate wa watoto.
nani anataka matatizo usawa huu.
Lema mwenyewe yupo Canada anakula kuku na familia yake, mbona haji huku kudai katiba kama ana uchungu kweli zaidi ya kutu chochea tu.
za kwambiwa changanya na za kwako.
Wewe ni walewale, hivyo sitakushangaa. Mundo bambikizi, kundi nufaika na mfumo uliopo, lazima kulinda maslahi, mkono usonge kinywani.nenda wewe na familia yako, tuache sisi tukatafute mkate wa watoto.
nani anataka matatizo usawa huu.
Lema mwenyewe yupo Canada anakula kuku mbona haji huku kudai katiba kama ana uchungu kweli zaidi ya kutu chochea tu.
za kwambiwa changanya na za kwako.
Kamanda Halima Mdee, Matiku, Bulaya ulawasikia wanadai kitu kama hicho? wanajitambua, hao ndio wapambanaji wa ukweliWewe ni walewale, hivyo sitakushangaa. Mundo bambikizi, kundi nufaika na mfumo uliopo, lazima kulinda maslahi, mkono usonge kinywani.
Hao walifikia bei kuunga mkono juhudi.Kamanda Halima Mdee, Matiku, Bulaya ulawasikia wanadai kitu kama hicho? wanajitambua, hao ndio wapambanaji wa ukweli
Napendekeza iwe DarKwani Kamanda linalofuata litakuwa wapi?
Mambo ya kudai haki tuachie sisi.nenda wewe na familia yako, tuache sisi tukatafute mkate wa watoto.
nani anataka matatizo usawa huu.
Lema mwenyewe yupo Canada anakula kuku na familia yake, mbona haji huku kudai katiba kama ana uchungu kweli zaidi ya kutu chochea tu.
za kwambiwa changanya na za kwako.
Maoni yako Kamanda,ila wenzio watakuwa Mara,home kwaIgpNapendekeza iwe Dar
Jibu sahihi.Hao walifikia bei kuunga mkono juhudi.
Una akili ndogo.Kamanda Halima Mdee, Matiku, Bulaya ulawasikia wanadai kitu kama hicho? wanajitambua, hao ndio wapambanaji wa ukweli