Kuepuka Media House kufungiwa, Lissu asihojiwe live, mrekodini kwanza mhariri kisha mrushe hewani. Lissu ni risk factor kwa media
Ana tabia ya kuongea vitu vya kutuhumu na character assassination vizito bila ushahidi hakikika kwa media
Mkirekodi kwanza na kupelekea wahariri media zitakuwa safe otherwise nyingi zitafungwa kwa ukiukaji maadili ya uandishi wa habari
Recording kwanza mhariri kisha mrushe hewani hata uwe mkutano wa hadhara akimaliza mhariri halafu baada hata ya saa moja rusheni hewani
Media ziwe makini naye zaweza fungiwa vikirusha live hotuba zake au mahojiano Mdomo wake risk sana kwa media na hajali kabisa
Aweza sababisha media house kibao kufungiwa na TCRA
Wahariri vizuri mjipange mkiandaa interview na Lissu
Pia soma > Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?
Ana tabia ya kuongea vitu vya kutuhumu na character assassination vizito bila ushahidi hakikika kwa media
Mkirekodi kwanza na kupelekea wahariri media zitakuwa safe otherwise nyingi zitafungwa kwa ukiukaji maadili ya uandishi wa habari
Recording kwanza mhariri kisha mrushe hewani hata uwe mkutano wa hadhara akimaliza mhariri halafu baada hata ya saa moja rusheni hewani
Media ziwe makini naye zaweza fungiwa vikirusha live hotuba zake au mahojiano Mdomo wake risk sana kwa media na hajali kabisa
Aweza sababisha media house kibao kufungiwa na TCRA
Wahariri vizuri mjipange mkiandaa interview na Lissu
Pia soma > Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?