Kuepuka mimba kwa kuwahi

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,750
Eti kuondoa utata wa kuwa mimba imetunga baada ya kupitisha muda kwa siku mbilitatu hadi wiki,ni njia gani unaweza kufanya ili ukapangua ? Nilisikia kunywa kahawa iliyochanganywa na limau au cokacola iliyochemshwa itakupa jibu ndani ya siku mbili na kuichomoa ni kweli ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…