Kuepusha dhuluma kwenye mishahara na ukwepaji kodi, TRA itoe Final Salary Slip kwa wafanyakazi

Kuepusha dhuluma kwenye mishahara na ukwepaji kodi, TRA itoe Final Salary Slip kwa wafanyakazi

The Wolf

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
9,412
Reaction score
20,685
Wafanyakazi wananyonywa sana, makato ni mengi, lakini taasisi ziwe za serikali ama binafsi kupeleka michango hiyo sehemu husika imekuwa ni issue sana. Inafikia mfanyakazi anastaafu, ameumia kazini ama ameacha ajira anakosa stahiki yake kwa sababu hamna michango ambayo imepelekwa sehemu husika licha ya kukatwa.

Ninashauri:

TRA awe final katika mchakato wa ku process salary slips both in public and private sector, kila taasisi ndani ya siku 15 baada ya payroll iwe imekamilisha kazi yake, itengeneze mfumo wa pamoja kuhakikisha mshahara umelipwa kwa wakati, michango iende na kukatwa kwa wakati tuseme, NSSSF or PSSSF paid, inakuwa transfered to another institution[emoji3591]WCF[emoji3591]NHIF[emoji3591][emoji3591]HESLB[emoji3591]TRA (PAYE&SDL)[emoji3591]receipt (salary slip) kwa mfanyakazi kwenye email yake na muajiri...inachosha mfanyakazi kumaliza mkataba wake hamna stahiki zake kwenye mifuko husika
 
Wanaweza kufanya hili kwa kutumia same control number, ikisoma kwenye account inapiga [emoji3581]zikikamilika mfanyakazi anapata salary slip yake, same kwa wanaokatwa WHT pia
 
Wafanyakazi wananyonywa sana, makato ni mengi, lakini taasisi ziwe za serikali ama binafsi kupeleka michango hiyo sehemu husika imekuwa ni issue sana. Inafikia mfanyakazi anastaafu, ameumia kazini ama ameacha ajira anakosa stahiki yake kwa sababu hamna michango ambayo imepelekwa sehemu husika licha ya kukatwa.

Ninashauri:

TRA awe final katika mchakato wa ku process salary slips both in public and private sector, kila taasisi ndani ya siku 15 baada ya payroll iwe imekamilisha kazi yake, itengeneze mfumo wa pamoja kuhakikisha mshahara umelipwa kwa wakati, michango iende na kukatwa kwa wakati tuseme, NSSSF or PSSSF paid, inakuwa transfered to another institution[emoji3591]WCF[emoji3591]NHIF[emoji3591][emoji3591]HESLB[emoji3591]TRA (PAYE&SDL)[emoji3591]receipt (salary slip) kwa mfanyakazi kwenye email yake na muajiri...inachosha mfanyakazi kumaliza mkataba wake hamna stahiki zake kwenye mifuko husika
Ngumu kumeza
 
Wafanyakazi wananyonywa sana, makato ni mengi, lakini taasisi ziwe za serikali ama binafsi kupeleka michango hiyo sehemu husika imekuwa ni issue sana. Inafikia mfanyakazi anastaafu, ameumia kazini ama ameacha ajira anakosa stahiki yake kwa sababu hamna michango ambayo imepelekwa sehemu husika licha ya kukatwa.

Ninashauri:

TRA awe final katika mchakato wa ku process salary slips both in public and private sector, kila taasisi ndani ya siku 15 baada ya payroll iwe imekamilisha kazi yake, itengeneze mfumo wa pamoja kuhakikisha mshahara umelipwa kwa wakati, michango iende na kukatwa kwa wakati tuseme, NSSSF or PSSSF paid, inakuwa transfered to another institution[emoji3591]WCF[emoji3591]NHIF[emoji3591][emoji3591]HESLB[emoji3591]TRA (PAYE&SDL)[emoji3591]receipt (salary slip) kwa mfanyakazi kwenye email yake na muajiri...inachosha mfanyakazi kumaliza mkataba wake hamna stahiki zake kwenye mifuko husika
mdau wazo lako la kuweka mfumo uwe sehemu moja siyo mbaya ila kumbuka kila taasisi za uma au binafsi zina muda wake wa kutoa mshahara,mifumo yake wapo wanaoweka bank wapo wanaotoa kwa keshia.Pia utalazimisha watu ambao hawana komputa kuhangaika na wataalamu kisa tu mshahara.kubwa kuliko kumbuka kazi ya Mamlaka ya mapato ni kukusanya kodi siyo kutoa risiti ya aina yoyote.ndiyo maana hizi kazi zimegawanyika NSSSF wao kuhifadhi fedha za wafanyakazi za mafao,sasa leo tena tra wapewe kazi hiyo.yawezekana umeona umihimu wa taasisi hiyo ila kumbuka mgawanyiko wa kazi kwa kila taasisi labda cha msingi wasimamizi wa hizi taasisi au cag awe anzikagua mara kwa mara ili kuziweka kwenye mstari.ila kama mwajiri usiombe ukakutwa umekata kodi ya mshahara halafu hujapeleka
 
Back
Top Bottom