Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Kwa kawaida mtu anapoanza biashara yoyte,kubwa ama ndogo huwa anakuwa na malengo fulani.Inapotokea biashara hii imekufa au kufungwa huwa pia kuna sababu.
Kwa utafiti mdogo niliofanya kumekuwa na kasi kubwa ya ufaji wa biashara na hii sio kipindi hiki tu bali hata vipindi vya nyuma ingawa kasi ya kipindi hiki imezidi kidogo.Ukitaka kutambua hili jaribu kupita katika maeneo uone namna ambavyo ukipita eneo fulani unakuta biashara zinabadilika ndani ya kipindi kifupi.
Hili limenifanya nijiulize maswali mengi ikiwamo Je kufa huku ni kwa sababu gani?
Tujadili hapa kwa pamoja je chanzo ni biashara kuwa ngumu,kukosa ujuzi wa uendeshaji ama ni watu kupata fursa nyingine na kuamua kuacha biashara husika
Tujadili kwa ajili ya kupeana elimu na ujuzi na uzoefu.
Kwa utafiti mdogo niliofanya kumekuwa na kasi kubwa ya ufaji wa biashara na hii sio kipindi hiki tu bali hata vipindi vya nyuma ingawa kasi ya kipindi hiki imezidi kidogo.Ukitaka kutambua hili jaribu kupita katika maeneo uone namna ambavyo ukipita eneo fulani unakuta biashara zinabadilika ndani ya kipindi kifupi.
Hili limenifanya nijiulize maswali mengi ikiwamo Je kufa huku ni kwa sababu gani?
Tujadili hapa kwa pamoja je chanzo ni biashara kuwa ngumu,kukosa ujuzi wa uendeshaji ama ni watu kupata fursa nyingine na kuamua kuacha biashara husika
Tujadili kwa ajili ya kupeana elimu na ujuzi na uzoefu.