cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,448
- 7,972
Habari wanajamvi
Bila kupoteza muda naomba niwaeleze mtu anapokufa ndo anakuwa mzuri na ndo lugha za huruma hutolewa "NINGE NINGE NINGE" zinakuwa nyingi lakini wakati akiwa hai hakuna msaada uliowahi kutolewa
Watu sasa hivi wanajinyonga kwa ugumu wa maisha au matatizo ya kisaikolojia
Ugumu wa maisha
Huyu mtu huenda akapata wakati mgumu sana katika maisha,ila mitaa aliyopo kuna watu na ana ndugu na huenda aliwaomba msaada kumsaidia ili apite katika wakati mgumu unao mkabili lakini ndugu,jamaa na marafiki,na majirani wakasema kila mtu apambane na hali yake
Siku huyo mtu akijinyonga baada kushindwa kuhimili mikikimiki ya hapa duniani ndipo majirani,ndugu,marafiki hujitokeza na kusema si angelisema asaidiwe kuliko kujinyonga,hapo ndo utajua BINADAMU NI WANAFIKI,kufa upendwe
Matatizo ya kisaikolojia
Huenda imesababishwa na mapenzi au biashara kuyumba na kupata hasara kubwa kwa wale matajiri
Kila mtu ana rafiki hata kama wewe ni mbaya sana lakini lazima uwe na rafiki,mtu huyu anapopata tatizo marafiki hupata taarifa mapema na wengine hupuzia kumsaidia ,likitokea ndo unamuona anakuja anasema " SI ANGALISEMA" kumbe ana taarifa
RPC Geita ,sio kwamba wanaojinyonga hawatoi taarifa juu ya matatizo yao,wanasema sana ila binadamu tumekuwa wabaya sana
Bila kupoteza muda naomba niwaeleze mtu anapokufa ndo anakuwa mzuri na ndo lugha za huruma hutolewa "NINGE NINGE NINGE" zinakuwa nyingi lakini wakati akiwa hai hakuna msaada uliowahi kutolewa
Watu sasa hivi wanajinyonga kwa ugumu wa maisha au matatizo ya kisaikolojia
Ugumu wa maisha
Huyu mtu huenda akapata wakati mgumu sana katika maisha,ila mitaa aliyopo kuna watu na ana ndugu na huenda aliwaomba msaada kumsaidia ili apite katika wakati mgumu unao mkabili lakini ndugu,jamaa na marafiki,na majirani wakasema kila mtu apambane na hali yake
Siku huyo mtu akijinyonga baada kushindwa kuhimili mikikimiki ya hapa duniani ndipo majirani,ndugu,marafiki hujitokeza na kusema si angelisema asaidiwe kuliko kujinyonga,hapo ndo utajua BINADAMU NI WANAFIKI,kufa upendwe
Matatizo ya kisaikolojia
Huenda imesababishwa na mapenzi au biashara kuyumba na kupata hasara kubwa kwa wale matajiri
Kila mtu ana rafiki hata kama wewe ni mbaya sana lakini lazima uwe na rafiki,mtu huyu anapopata tatizo marafiki hupata taarifa mapema na wengine hupuzia kumsaidia ,likitokea ndo unamuona anakuja anasema " SI ANGALISEMA" kumbe ana taarifa
RPC Geita ,sio kwamba wanaojinyonga hawatoi taarifa juu ya matatizo yao,wanasema sana ila binadamu tumekuwa wabaya sana