Kufahamiana [JF Identities] - Faida na Hasara [?]

Sisimizi ame-zoom-miwa thru microscope
Akawa mkubwa kama tembo
Sasa watu wanataka kumuua huyo tembo
Ila wakitoa microscope haonekani

Ndo ivo, na weye liunge
Jamani mimi naona kama nimekuwa mgeni hapa Yerusalemu; kulikoni?
 
Kamwe sihitaji nifamiane physically na Mtu wa JF, Mimi ni mimi tu........Tufamiane humu humu tu na si nje ya humu. Amen!!....:A S embarassed:
 
Sisimizi ame-zoom-miwa thru microscope
Akawa mkubwa kama tembo
Sasa watu wanataka kumuua huyo tembo
Ila wakitoa microscope haonekani

Ndo ivo, na weye liunge
ha haaaaaaaaaaaaaa, senki yuuuuuuuuuuuuu
 
Unataka utukaange?

Mafuta ya kupikia
Nilitaka nije kukukaangia samaki wa ziwa victoria
Na ugali
Ili upate nguvu vizuri
heee!!! mafuta yanakazi nyingi sana!! Angalia nisiwarudi nyie!!
 
mbona watu mnaogopa kujuana hivo duu

Wataachaje kuogopa kujuana wakati hata kufahamiana kwenyewe wanaogopa? Au mwenzetu hujui kwamba kujuana ni zaidi ya kufahamiana?
 
Hhmm binafsi sioni tatizo, labda kama hao watu wamezoea na wanapenda kuuungwa mkono na kusifiwa tu.

Mimi nnaowafahamu tunapingana kwa hoja jamvini na bado urafiki unaendelea. Hamna haja ya kumbadilikia mtu kisa mmetofautiana hoja.

Lizzy naomba nikufahamu mpenzi.....huenda ningeshakujua nisingekuuliza yale mambo ya gogo la mitishamba
 
Lizzy naomba nikufahamu mpenzi.....huenda ningeshakujua nisingekuuliza yale mambo ya gogo la mitishamba

Hahaha. . .
Usingeniuliza kwasababu ungekua unajua au kwasababu ungenionea aibu? Au labda heshima kidogo?
 
Reactions: GY
Tangia asubuhi hadi saa hizi nimeganda kwenye keyboard nasubiria kufahamiana na Lizzy,jua linazama sioni dalili,yaani ukisikia mtu anasinzia amesimama ndo mimi leo!
Lizzy hujambo mama?
 
Hufai kabisa
Baada ya kukukaangia samaki
Na wale senene
Ndo umekuja huku??
Tangia asubuhi hadi saa hizi nimeganda kwenye keyboard nasubiria kufahamiana na Lizzy,jua linazama sioni dalili,yaani ukisikia mtu anasinzia amesimama ndo mimi leo!
Lizzy hujambo mama?
 
Tangia asubuhi hadi saa hizi nimeganda kwenye keyboard nasubiria kufahamiana na Lizzy,jua linazama sioni dalili,yaani ukisikia mtu anasinzia amesimama ndo mimi leo!
Lizzy hujambo mama?

Hahahahahaha pole.
Mi mzima, vipi wewe?
 
Hii imenipita pitaje aise jamani tufahamiane basi wapendwa
 
heri yangu sifahamiani na yeyote inawezekana niko kwenye upande salama! Wote niliojaribu kuonana nao wameingia mitini... Na sitaki tena kumfahamu mtu mie
 
Bado mnaendelea tu?

I hope kijitu kimepata meseji. Meseji senti lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…