Kufahamiana [JF Identities] - Faida na Hasara [?]

heri yangu sifahamiani na yeyote inawezekana niko kwenye upande salama! Wote niliojaribu kuonana nao wameingia mitini... Na sitaki tena kumfahamu mtu mie

hahahaha! Ulithubutu, ukashindwa, ukakata tamaa. Lol.
 


Kweli kufahamiana ni vyema.

Nakumbuka kuna kipindi kulikua na thread "JF Arusha Wing". Ambapo wanaArusha walipanga kuwa na safari ya kwenda mbugani. Sijui waliishia wapi. Ila naamini walikutana na kufahamiana;sijui kama walifahamiana kwa majina yao halisi au kwa majina ya JF.

Mwanachama yeyote wa JF Arusha Wing anaweza kuja kutoa uzoefu.
 
Kufahamiana hakuna faida ..kama ipo basi ni kidogo...watu hawajui urafiki wa kweli...ni ''friends with benefits''.Mie sikuona faida katika kufahamiana zaidi ya majungu.
Kwa niliyemkwaza ..samahani!
 
Kufahamiana hakuna faida ..kama ipo basi ni kidogo...watu hawajui urafiki wa kweli...ni ''friends with benefits''.Mie sikuona faida katika kufahamiana zaidi ya majungu.
Kwa niliyemkwaza ..samahani!

Hmmm Zayon Dota. Do you have "friends with benefits"?
 

Ukipata jibu la hilo swali [bold/red]naomba uje kutujuza!
 
Kufahamiana hakuna faida ..kama ipo basi ni kidogo...watu hawajui urafiki wa kweli...ni ''friends with benefits''.Mie sikuona faida katika kufahamiana zaidi ya majungu.
Kwa niliyemkwaza ..samahani!

And... mwisho wa majungu siyo mzuri... Inakwenda mbali zaidi.. unfortunately!
 
Kuna kitu ambacho almost all social networks zinakuwa zinafanana, hii inakuwa inasababishwa na sababu moja ama nyingine lakini kubwa zaidi ni kuwa watu wengi walioko kwenye network moja ndio hao hao wanaokuwa kwenye network nyingine hivyo kuna wakati wanakuwa wana act the same.

Kujuana kiuhalisia ni hatua moja juu ya kujuana kwenye nick names au kwa keyboard, to me here is the place to start meeting and when it comes to kukutana kiuhalisia inakuwa ni advance stage ya kukutana hapa. To me thats what any social media is there for ilimradi tu kile kinachopostiwa hapa kiendelee kuwa na mwonekano uliozoeleka
 
Hahaha. . .
Usingeniuliza kwasababu ungekua unajua au kwasababu ungenionea aibu? Au labda heshima kidogo?

So real avatar pictures will do more harm than good sio?
 
Hii mambo bana,nashukuru Mungu ki nokia changu cha tochi hakiwezi hata ku..Sijui kuweka nini...Ah sijui mnaita Avatar.....Kuna wana JF kama nane hivi wa jinsia tofauti tofauti nimekutana nao,wachache sana ambao sio wajinga!Sidhan kama nina ham ya kukutana nao tena.Wengi humu ni tofauti na walivyo real!Hawana maana!
 
Labda wanajiunga na JF wakidhani labda is primarily a dating site?

Acheni kuzuga watu.
Mnadhani hatujui kuwa huwa mnasafiria ili mkananihii. Na mlianzia kwenye PM tu.
Kuna mwenzenu mmoja hadi alijisahau, katikati ya thread yeye kakazania: Fulani mbona hupokei simu yangu, nipigie basi au pokea simu yangu, tena thread yenyewe ilikuwa ya kisiasa na haikuhusiana kabisa na hicho alichokiingiza. Na hili neno alilirudia zaidi ya mara 3 (he was not joking). Na aliwahi kuusafiria mzigo akaukosa. Tena ni mtu ambaye humu mnamuona kama mfalme.
 

Bora umesema.
Angalia post no 256.
Watu wanafiki sana humu.
Wanachoongea humu ni maandalizi ya kutaka kuyafikia malengo yao binafsi ambayo ni kinyume kabisa na wanachoandika humu.
 
what will they do then? faida na hasara!
One thing I know, ukiweka picha yako hapa sehemu ambayo ina watu wenye hulka tofauti unaweza ukajikuta unajuta kwasababu wengine wanaweza kukutukana/kosesha raha kwa kutumia muonekano wako. Hata kama ni mzuri bado wapo ambao hawatachoka kusema chochote alimradi amekosoa. Ila uzuri kwa wale wanaotongozana hata kufikia kukutana, kunakua hamna surprises. Maana nasikiaga watu wakilalamika sana kwamba walipokutana mambo yalikua tofauti na matarajio.

Ila siwezi kuainisha faida na hasara moja kwa moja. . . . .
 
Reactions: GY

Jamii Intelligence!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…