Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
- Thread starter
-
- #61
hii site ni invisible site hadi nikaja huku nni kwamba sitaki kujulikanaKwa mtizamo wangu sijui mods wataingilia vipi hili
Labda kwa kuchuja post kitu ambacho wanakifanya
Na hawezi kujua wakati mtu karusha dongo la ukweli au ni watu wanaotaniana sababu wanaelewana
Je waanza kuchunguza PM? ili watu wakigombana kwenye PM wawe wanachunguza wanavyojibizana kwenye sredi?
Mi nadhani unapopanga kukutana na mtu
Lazima ujue unajiingiza kwenye nini
Kama huna uhakika na unachofanya
Bora kuacha kabisa
ila kuna mijitu mingine inapenda ujiko tu hasa kwenye swala zima lakujuana kila mtu yupo juu ya mwenzake..
wewe siku ile si nilikuambia nikupe jina langu la facebook ukakimbia mkuu.?Kweli kwa ulivyo ni balaa
Ila ngoja tuu kuna siku nitakutana na wewe
Ila tukikutana ya huko nje ni ya huko huko humu yasifike kabisa
acha tu mwenzangu.kile choo na jiko lako umesafisha?
The Keyboard is getting hotter and hotter
unataka kukutana na mimi mzee wa mabox?What's the temp?
wewe siku ile si nilikuambia nikupe jina langu la facebook ukakimbia mkuu.?
Kwahiyo inakua kama mashindano?
Huo sasa ni utoto.
mwanamke reception ,mwanamke shep,mwanamke jiko na choo na vyombo mama sijui ni mama weye? husomekiHa ha ha
Hivi unanifahamu?????
Maana ni leo tu
Nimenunua ile baking poda na majivu na Omo
Ndio nilichokuwa nafanya siku nzima
Afu sufuria nimenunua mpya kabisa
Na vikombe je havikutishi?
Ila sina glass za wine
Kama ni mpenda wine utanywea kwenye bilauri za bati
wewe fungua kwanzatatizo huko sina account aise
We nitumie tuu nitajua namna ya kukutafuta
unataka kukutana na mimi mzee wa mabox?
mi sioni haja ya kujuana na mtu nadhani nitamuudhi bureKujuana kuna faida zaidi, utaweza kusaidiana kwa mambo mbalimbali na hata kupeana ideas ambazo huwezi kupata sehemu nyingine... ila kujuana na wapuuzi kuna hasara mara dufu... watahakikisha wanakuweka chini kabisa kwa namna yoyote ile
wewe fungua kwanza
aisee napanda daraja nakuwa nani au jf founder?Shika adabu yako. Mimi ndo Raisi wa Wabeba Maboksi. Wewe ndo unatakiwa kutaka kukutana na mimi na si kinyume chake. Kukutana na mimi ni bonge la ujiko. Mara tu ukutanapo na mimi moja kwa moja unapanda daraja.
mi sioni haja ya kujuana na mtu nadhani nitamuudhi bure
Hunijui Sikujui Achana na Mimi....lolAlafu wewe ushahama pale au ulifanikiwa kupata kodi?
Ile suruali yako umepeleka kwa fundi au bado ya ndani yako nje?
Hivi yule mke wa jirani yako unaetoka nae anajua una mchumba?
madongo gani tena mkuu?kwani una sura kama umelipuliwa na mabomu benghazi?Sharti jipya hilo
Mbona sina mpango huo maana kule kumekaa kwa kitoto sana aise
Mhh au unataka unifahamu uanze kutoa madongo JF
aisee napanda daraja nakuwa nani au jf founder?