Kufahamiana

..members wana shida sana hawa na threads zisizo za lazima alafu nahisi ulimaanisha kufahamiana sio kujuana!!
UPO ILALA KWENYE HII UNATAFUTA NN MI CO STAA UTAFUTE KIKI MKUU UNAJUA NAWATAFUTA KWA KAZI GN FATILIA MISHA YAKO
 
Huwezi kukutana nao mkuu,wewe fanya mishe zako,wana jf ni watu wa kipekee.
 
naona post za members zimeongezeka sana mda huu

Sijui ndo kufungua vyuo madogo wa 1 year
mlikua hamtumii smartphone sekondary

kalibu mkuu
 
naona post za members zimeongezeka sana mda huu

Sijui ndo kufungua vyuo madogo wa 1 year
mlikua hamtumii smartphone sekondary

kalibu mkuu
KAKA SMARTPHONE NMEANZA KUTUMIA MUDA NAHC HATA KABLA YAKO NA HYO FIRST YEAR MI MPK NSHASAHAU KAMA NLISOMAGA CHUO MWANANGU HAPA NLIPO NNADAIWA KARIBIA STARLET MBILI NA SERIKALI MAANA KAMA MKOPO NLIPEWA ASILIMIA 100 2008 KAKA TUCCHUKULIANE POA KAMA UJAPENDA NLICHOANDIKA WE PITA TU KWN LAZMA UANDIKE AU ULIHC UTAONEKANA MJANJA NNAMAANA YANG KUFANYA HVYO HESHIMU KTU CHA MTU KABLA UJANKOSOA JIKOSOE WW KWANZA NDG YANGU IN CASE U DON BELIEVE NAITWA RICHARD SINKALA NENDA CBE KAULIZE SAWA UTAPEWA INFO ZANGU ZTE TAFUTA WAKONGWE LAKINI UCMTAFUTE FIRST YEAR
 
Kwa mwandiko huu kama hata una diploma ni bahati sana. Umeandika hovyo sana, no wonder umesoma CBE
 
Mtu anatumia ID fake alafu unadhani waweza kutana nae kirahisi?

Labda fb search friends from .... Utawapata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…