Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
unaona ambavyo huelewi maana ya future? wewe unajua kusoma ni kupata cheti tu.! kazana umalize shule uje huku uraiani uprove maneno yangu
jibu maswali yangu..sio kunitisha na huko uraiani,najua nyie ndio mnaowashauri ndugu zenu wasome ualimu eti wapate ajira..we hamna kitu..eti wazazi wanakuchagulia fani,wewe umesoma kwa matakwa ya wazazi? Kama ndivyo hufai kuitwa msomi alafu subiri wazazi wako wakitanguli mbele ya haki(siwaombei) utakoma!
Hapo mkuu umeongea ukweli kabisa ila wa2 hawataki kukubali huo ukweli...wengi wanaosoma MD pale MUHAS wanamaliza miaka 5 wanakuwa wako poa sana kwenye theory ila jinsi ya kutibu mgonjwa jinsi inavyotakiwa wanashindwa na ndo maana sehemu nyingi wanawakataa intern wanaotoka pale Muhas.Hiyo nimeshuhudia mimi mwenyewe pale Hospitali ya Rufaa ya Dodoma mjini wanavyopata tabu kumtibu mgonjwa mpaka wamtafute dr mzoefu wa muda mrefu ate msaidie hata kuandika dozi kwa mgonjwa.
dah!kweli we jeuri...co kuwa jamaa anakutisha ila anakuambia jinsi gani uraiani kulivyo kugumu na ni tofauti kabisa na jinsi m2 anavyofikira anapokuwa yupo chuo kikuu...wengi nimewaona waliokuwa wazuri sana darasani(kuanzia o'level mpaka chuo) ila wanapata tabu huku mtaani kukabiliana na maisha...mi nakutakia mafanikio mema pindi utakapokuja uraiani ili uje ujionee maisha yalivyo
kwani walioajiriwa serikalini,kwenye mabenki,wenye vyeo vikubwa sana,vijana wenye pesa na wamefanikiwa kiasi kikubwa na wana elimu ni kweli wote wamesoma udsm
Jamani madogo acheni kubishana ujinga, real life ni tofauti na mnavyofikiria, maisha hayana formula, niliwaandikieni angalizo zuri sana na makafurahi but naona mnarudi kulekule...
Nawaombeni tena mpitie hii Link
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aduates-wote-na-kaka-dadas-mliopo-vyuoni.html
kwani walioajiriwa serikalini,kwenye mabenki,wenye vyeo vikubwa sana,vijana wenye pesa na wamefanikiwa kiasi kikubwa na wana elimu ni kweli wote wamesoma udsm
Wote mnaopinga udsm ni ndezi tu.....tuliofaulu zaidi kuliko wengine tupo ud na tunaujua ubora wa elimu yetu.......endeleeni kukopa walimu wetu wawafundishe ila wanalalamika kuwa wanafundisha watu wenye uelewa mdogoooo to mean ukiwapa maswali yetu yenye page 5 wanaambulia kuishia njiani na kutopata majibu...pia wanaedit research zetu na nimelishuhudia tumaini, na saut....na wengineo. Mimi ni mwanafunzi wa sheria mwaka wa nne...kama unaargument zitoe siyo kupiga mdomo kama msanii wa taarabu....
Lawrence Mafuru CEO wa NBC ni matunda ya IFM na yuko juu ya ndezi wote wa unayoiita UDSM
Lawrence Mafuru CEO wa NBC ni matunda ya IFM na yuko juu ya ndezi wote wa unayoiita UDSM
uzuri wa kutoka familia za viongozi na wasomi ni kwamba unapomaliza a-level wazee wanangali course inayokufaa na future yake, ukimaliza chuo unakuta ajira inakungoja.
Familia za undergrounds mtoto mwenyewe anachagua course kwa kuangalia jina la chuo na current market ya course inayobamba.. akimaliza chuo anakuta soko limeshajaa last 2 yrs.. Unakuta dogo akipata matokeo mazuri anakimbilia kusoma civil/mechanical eng au law udsm akimaliza chuo anenda kufundisha tuition mitaani
Mimi kuna jamaa zangu wanne wazazi wao ni majudge na f6 walipata div1 pts 7,8,8 na mwingine 9, wazazi wao waliwapeleka chuo cha mahakama Lushoto kusoma diploma. Jiulize ni kwanini hawakuwapeleka LLB UDSM??? Prof wa muhimbili anampeleka mwanawe aliyepata 10pts pcb kusoma MD KCMC, ni kwanini hakumpeleka MUHAS??
Hamjiulizi ni kwanini watoto wa NBAA directors wanasoma T.I.A na sio BCom udsm even though wana div 1 ECA?. POLENI SANA